goosh..Dont tell me...but yeye ni rahisi kumdhibiti...anapenda sana kahawa, kwahiyo kazi ya kamati yangu ni kumjazia kwenye mug lake, mara siku imeisha... kwishney
mambo yalikuwa poa sana, ni matumaini yangu wote mlifika salama baada ya kutawanyika pale Hotelini, nawatakia siku njema wote mliokuwepo na wote wanaofatilia hii thread