JF Arusha Wing nimewakubali...ntarudi tena!!

Ahsante shemu inaonesha ni jinsi gani ulivyo makini na hiyo kitu safi sana msalimie dadaangu kipenzi Lady doctor mwambie nimemmisi sana akae mkao wa kunipokea huko chuga

dogo lake nipo safarini tuombeane kheri December niwe chuga nikupokee, love you sana my lady!
 
Last edited by a moderator:
Dar Wings wanajidai wako bize sn jaman mara moja kwa mwezi itakua inapendeza km tukimeet.

Jamani wanachitchat naomba kwa dhati niseme jf imenipa nafasi ya kuongeza marafiki. Kwa siku nilizokaa Arusha kwa Kweli nimeutendea vyema muda wangu..Na kwa dhati niwaombe mikoa mingine tuige ya wale wa Arusha. These guys wako smart and generous...try them na utaniambia...I promise u guys nikipata nauli tena ntarudi Arusha.

c.c PakaJimmy, Preta,[MENTION]blakiwoman[/MENTION], Cantalisia, Filipo, Arushaone, Valentina, [MENTION]liverpool fc[/MENTION]....na wengineo
 
Last edited by a moderator:
maarif wa Chuga wanabamba sana...

si utani arif. wanabamba mpaka raha. Ziko mtu kama kumi hivi zina mshikamano balaa. ukienda chuga hukosi kama saba hivi za kulipa nao kodi via vileo. Ila naamini chuga kuna members lukuki zinajificha na kula umaarufu wa bure wa chuga wing.

Big up PJ and co.
 
Dar Wings wanajidai wako bize sn jaman mara moja kwa mwezi itakua inapendeza km tukimeet.

Dar wako bize na mafoleni dadadadeki. Imagine mtu atoke Mbagala aje Tegeta kukutana... kabla hajafika mwenge watu wameshalewa.

Ngoja nianzishe mchakato wa tawi la Mbezi beach, Kawe. Tegeta, Boko Bunju.... Tunakutana Mwenge wakati tunasubiria foleni ikatike.

Hili tutaliita bagamoyo road branch

Aliye tayari anyoshe mikono juu.
 
si utani arif. wanabamba mpaka raha. Ziko mtu kama kumi hivi zina mshikamano balaa. ukienda chuga hukosi kama saba hivi za kulipa nao kodi via vileo. Ila naamini chuga kuna members lukuki zinajificha na kula umaarufu wa bure wa chuga wing.

Big up PJ and co.

Maisha yenyewe ndio haya haya.....as long as hakuna mtu anang'ata mtu...........wayiiiii..........

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom