Marhabaaa sweetheart. Mbona jana ukurudi nyumbani?Shkamoo
Nilibanwa na Honey Faith
Ni tarehe 6 Dec, not tarehe 4 shem.
Nimekatazwa! Mke wangu Lady doctor amesema NO
Ahsante shemu inaonesha ni jinsi gani ulivyo makini na hiyo kitu safi sana msalimie dadaangu kipenzi Lady doctor mwambie nimemmisi sana akae mkao wa kunipokea huko chuga
Mmh...yani wewe dawa yako limbwata,sijui mke mwenza yuko wapi anielekeze vizuri
Welcome back...we enjoyed your company too!!
Now we are missing presence of Madame B too, who left last week.
Jamani wanachitchat naomba kwa dhati niseme jf imenipa nafasi ya kuongeza marafiki. Kwa siku nilizokaa Arusha kwa Kweli nimeutendea vyema muda wangu..Na kwa dhati niwaombe mikoa mingine tuige ya wale wa Arusha. These guys wako smart and generous...try them na utaniambia...I promise u guys nikipata nauli tena ntarudi Arusha.
c.c PakaJimmy, Preta,[MENTION]blakiwoman[/MENTION], Cantalisia, Filipo, Arushaone, Valentina, [MENTION]liverpool fc[/MENTION]....na wengineo
maarif wa Chuga wanabamba sana...
Dar Wings wanajidai wako bize sn jaman mara moja kwa mwezi itakua inapendeza km tukimeet.
LiverPoolFC mie nasomeka juzi kati manusura unigonge maeneo ya TripleA ....
ntajitokeza jamani naona napigwa mishale ndani na nnje ya JF...halafu wewe ungejua jinsi unaniuzi.............
si utani arif. wanabamba mpaka raha. Ziko mtu kama kumi hivi zina mshikamano balaa. ukienda chuga hukosi kama saba hivi za kulipa nao kodi via vileo. Ila naamini chuga kuna members lukuki zinajificha na kula umaarufu wa bure wa chuga wing.
Big up PJ and co.
Maisha yenyewe ndio haya haya.....as long as hakuna mtu anang'ata mtu...........wayiiiii..........
Haki ya nani nahamia Arusha Wing... Wivu sina ila roho inaumaaaa!!""