Jezi mpya za kimataifa za Simba zina alama ya goli 5, Yanga mbioni kudai fidia

Mtani wa Taifa

JF-Expert Member
Aug 2, 2023
883
3,066
Wakuu leo katika kuangalia jezi mpya za Simba walizozindua leo kuna alama ya goli 5 walizofungwa na watani wao Wananchi, kwa taarifa tu ni kuwa goli hizo 5 ni mali ya Yanga na wamepanga kwenda kufungua kesi ya madai kwa nini Simba wajibandike magoli matano kwenye jezi wakati sio mali yao, wao goli lao ni moja tu.

Nimemaliza

JamiiForums-672811448.jpg
 
Wakuu leo katika kuangalia jezi mpya za Simba walizozindua leo kuna alama ya goli 5 walizofungwa na watani wao Wananchi, kwa taarifa tu ni kuwa goli hizo 5 ni mali ya Yanga na wamepanga kwenda kufungua kesi ya madai kwa nini Simba wajibandike magoli matano kwenye jezi wakati sio mali yao, wao goli lao ni moja tu.

NimemalizaView attachment 2822020
Hii Mo Foundation ipo?
 
Ila huyu jamaa matangazo yake yamezidi aisee.. Mpaka kero. Hivi haoni hata aibu??
 
Back
Top Bottom