Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 883
- 3,066
Wakuu leo katika kuangalia jezi mpya za Simba walizozindua leo kuna alama ya goli 5 walizofungwa na watani wao Wananchi, kwa taarifa tu ni kuwa goli hizo 5 ni mali ya Yanga na wamepanga kwenda kufungua kesi ya madai kwa nini Simba wajibandike magoli matano kwenye jezi wakati sio mali yao, wao goli lao ni moja tu.
Nimemaliza
Nimemaliza