JEZI MPYA YA YANGA KUELEKEA MSIMU WA 25/26 MWANANCHI UMEIONAJE JEZI HII ?

JEZI MPYA YA YANGA KUELEKEA MSIMU WA 25/26 MWANANCHI UMEIONAJE JEZI HII ?

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,465
Reaction score
14,608
Huyu ni mbunifu mpya baada ya sheria ngowi kutemana na yanga vipi hapo amepatia au tuendelee kumpa muda
 

Attachments

  • 20250824_113948.jpg
    20250824_113948.jpg
    69 KB · Views: 13
  • 20250824_113950.jpg
    20250824_113950.jpg
    64.4 KB · Views: 21
  • 20250824_113953.jpg
    20250824_113953.jpg
    121.1 KB · Views: 11
  • 20250824_113956.jpg
    20250824_113956.jpg
    63.1 KB · Views: 13
  • 20250824_114001.jpg
    20250824_114001.jpg
    165.6 KB · Views: 19
THIRD KIT
 

Attachments

  • 20250824_114541.jpg
    20250824_114541.jpg
    161.4 KB · Views: 20
  • 20250824_114543.jpg
    20250824_114543.jpg
    197.4 KB · Views: 12
Ukitoka usingizini ukaangalia ghafla unaweza ukasema ni msalaba!

Huo mstari wa kati ungekuwa pembeni kushoto!!

4/10
 
  • Thanks
Reactions: BRN
mashabiki watasifia na wasio mashabiki wataponda iko hivyo na itabaki hivyo hakuna namna uzuri au ubaya ukaonekana kwa wote
 
Utopolo woute - Jezi kali
Lunyasi wote - uzi mbaya, kwanza hiyo jezi ya mwenge ni ccm
 
Hiyo jezi nyeusi ingekua kali sana kama wasingeweka mwenge. Mbunifu kafeli kusoma joto la kisiasa lililopo kwenye jamii kwa sasa.

Hiyo ya njano inafanana sana ya msimu uliopita, ambayo ninayo

Nitaenda kununua iyo ya kijani, ingawa sijaipenda sana
 
(kwa sauti ya Nay wa mitego) thatha hayo malonya ni yakuitwa jedhi kweli mbona huu ni utapeli wa athubuhi athubuhi
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kumbe Yanga ni Jeshi la Msalaba kwenye Crusade war? 🤔 Wale wa Mashabiki wenu wa Jihad war mnawaweka upande gani?
 
  • Thanks
Reactions: BRN

Similar Discussions

Back
Top Bottom