Naona wewew ni muislamu unaumia sana sema ndo hivyo huna la kufanya.
Anyway mimi hoja yangu ni waisrael ni wabaguzi sana basi.
we mgeni na matukio ya duniani. Tembea uone mengi.Watanzania na waafrica wamekuwa watumwa wa kifikira juu ya wayahudi watu wanaleta mpaka takwimu za uongo ili tu kuwapamba hv toka lini centro bank ya nchi ikamilikiwa na raia??? tena wa Taifa jingine? jamani acheni akili zenu zifanye kazi japo kidogo msikubali kukopesha akili mlizopewa bure na mungu kwa watu wengine wafikirie juu yenu
Why unafikiri haiwezekani?Nasema hivyo kwasababu hao wayaudi hawawezi kumiliki benki zote hizo
Chelsea wanafaidi tu kutoka kwa Abramovic na Manchester United ndio inamilikiwa na Wayahudi pure..Ndugu Vipi kuhusu club za mpira domination ya wayahudi ipoje uko.
Mkuu hilo la kusema Walibya damu itawatafuna hilo kiasi siwezi kulikubali.. Kuna matwakwa tu ya Hao wayahudi yakitimizwa Nchi itarejea tu Stable.. na sio kwamba Gaddafi alikuwa mtu poa kivile la hasha sema ubabe wake ndio uliweza kuwacontrol Waarabu maana Jamii hizo hazitaki mtu rege rege same na Somalia tu... Kuna watu walienjoy kwa Gaddafi na kuna watu waliteseka kwa Gaddafi Huyo Jamaa alipewa Offer zote aondoke Libya ili nchi iwekwe equal kimaisha maana maisha ya Libya yalikuwa ni ya kitabaka Kabila la Gaddafi walikuwa ni level ya juu na makabila engine yalifuata na hiyo ilikuwa haina kificho waliokuwa wakipa kelele walipotea msee wangu.... historia ipo wazi na wala haijajificha wala kufutwa..Mkuu umenikumbsha maumivu, naumisa sana kuskia hili jina linatamkwa. Ila walibya hii damu itawatafuna tuu vizaz na vizaz
Weka Nyama basi maneno yako tuone Point yako tuamini... Aina yako ya Kukataa ni kama ndani kwako mtoto kanya wewe badala ya kuzoa ukayatupe chooni au ukayafukie ardhini unaishia kutema Mate tu... so Harufu utaendelea kuipata tu...Sio kweli
Mkuu yawezekana machafuko yanaytokea huko ni ya mda tuu baada ya mato na marekani na hao wayahudi walioenea kila eneo kupata matakwa yao amani itarejea ila yule jamaa alikua na mapenzi mema na nchi yake bwana kama tuu kagame na rwanda yake.Mkuu hilo la kusema Walibya damu itawatafuna hilo kiasi siwezi kulikubali.. Kuna matwakwa tu ya Hao wayahudi yakitimizwa Nchi itarejea tu Stable.. na sio kwamba Gaddafi alikuwa mtu poa kivile la hasha sema ubabe wake ndio uliweza kuwacontrol Waarabu maana Jamii hizo hazitaki mtu rege rege same na Somalia tu... Kuna watu walienjoy kwa Gaddafi na kuna watu waliteseka kwa Gaddafi Huyo Jamaa alipewa Offer zote aondoke Libya ili nchi iwekwe equal kimaisha maana maisha ya Libya yalikuwa ni ya kitabaka Kabila la Gaddafi walikuwa ni level ya juu na makabila engine yalifuata na hiyo ilikuwa haina kificho waliokuwa wakipa kelele walipotea msee wangu.... historia ipo wazi na wala haijajificha wala kufutwa..
Pia Gaddafi aliingia madarakani kwa Mapinduzi inamaana angeshindwa angeuwawa au kupata kesi ya Uhaini na aliua so ndio hivyo Ukiuwa kwa upanga nawe utauwawa kwa upanga... Mapinduzi ya Libya ni sawa na ya Zanzibar yaliyozaa CCM ila kule kimaisha mmmh wacha ninyamaze...
we leta zako za kuaminika basi.story za kijiweni tu
ndo mijitu ilivo mkuu inajikuta inajua halafu haiweki habari za kweli kuuweka ukweli wenyewe. naichukia sana.Weka Nyama basi maneno yako tuone Point yako tuamini... Aina yako ya Kukataa ni kama ndani kwako mtoto kanya wewe badala ya kuzoa ukayatupe chooni au ukayafukie ardhini unaishia kutema Mate tu... so Harufu utaendelea kuipata tu...
Unaweza kuniita mgeni kwa vile hapa JF hatujuani na kumejificha nyuma ya keybord au keypad lakini nataka kukwambia mm nawajua vizuri si kwa kuwasoma kama ambavyo wengi wanajua kwa kusoma nataka kukwambia rabda ujui maana ya centro bank na kazi zake pia unatakiwa kujua hakuna vitu vinavyopotosha watu dunian kama vyombo vya habari na wasanii vyombo ving vya habari hawa jamaa wanaushawshi navyo nataka kukwambia kuwa ni mi mwisrael mmoja tu ndo yupo kwenye biashara hii ya mambo ya banks ni familia ya Rothschild na hawa si kwamba wanamiliki bank bali wanamiliki mfumo unaoendesha bank nying dunian so kama leo ukiwapa max malipo kupitia mfumo wake ndo akawa anakusanya kodi je utasema TRA ni mali ya max malipo???we mgeni na matukio ya duniani. Tembea uone mengi.
Why unafikiri haiwezekani?
Familia ya Rothschild utajili wake ni Trillion of Dollar ambapo hamna wa Kuwagusa... Pesa zao zinarecord ya kusambazwa kwa watu waliowatrain vizuri hata wewe kama akili zako zinacharge vizuri hawasiti kukuchukua yaani wanakusponsa Shule unasoma vizuri hadi unamaliza wanakupa kazi kwenye kampuni zao vyovyote kwa jinsi walivyokutrain Unawezeshwa kila kitu... hata unaweza kuwa Tajiri mkubwa wa nchini kwako popote pale but hizo mali faida yake asilimia kubwa wanachukua wao... Hawa jamaa waligundua njia za uchumi kitambo sana ndio watu wengine wanajitahidi kuiga hata hapa Tz wengine wamefanikiwa kwa kufuata njia zao Unakuta mtu kama Mengi ana makampuni chungu nzima but ukifuatilia utakuta ana shere kadhaa tu but yeye ndie Mtendaji mkuu.. Trust me.. Jaribu kufuatilia hawa Jamaa utanielewa... Kuna siku nilitaka kuweka thread ya Hii familia kwa Jinsi ilivyokuwa inataka kuitawala Dunia bila wananchi kutambua kwa jinsi walivyokwama sehemu na sehemu ikiwepo Urusi... na hadi Sasa Urusi inawindwa ikizubaa tu inaliwa tena.... Thread niliitranslate karibu robo tatu ni ndefu sana nilisikia uvivu kuimalizia ila one day nikitulia nitaimalizia na kuipost humu...
Hawa Jamaa ni Wayahudi waliotokea Huko Georgia Lugha yao iliitwa Yiddish japo yasemekana Uyahudi wao ni ule wa Kubadilisha Dini na sio wa Asilia lakini Business ni Nature Yao Bank ndio walioanzisha wao,Mikopo ni wao n.k n.k
Hizo Bank umiliki wao ni kuzicontroll kwa jinsi wanavyotaka na ukileta kiburi wanakuyumbisha mara moja hawana mchezo kabisa... na penalty yao ni kubwa sana kukusimamisha upya...
Kuna Mipango Mingi au vita ya kuwashinda hawa jamaa but wana mikono kila kona... Hao Brics sijui walitaka kujitenga IMF ni mali yao hawakwepeki wengine wakaanza Digital Money nao wakaingia tena Zaidi hadi wakamiliki... yaani hawachezi Mbali maana kama Magu anavyosema Pesa zipo tu
Labda amekoseaSiamini kwani nimesoma baadhi ya mabenki wala hazimilikiwi na Jews
Ungesema wanamiliki baadhi labda lakini kuorodhesha dunia nzima mmh I doubt.
Kweli wanamiliki biashara nyingi duniani na wana share katika mashirika makubwa.