Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Haya tena wale wapenzi wa anga
kwa mara nyingine tena tuna kuja na nyuzi mpya..kama alivyosema mh waziri lengo ni kuhakikisha
kila mtu anaeitaji kusafiri mwanza kigoma arusha .aweze ruka muda wowote aijalishi kampuni gani
ya ndege..napenda kuwajia na goodnyuzi kampun ya ndege ya JETLINK kutoka kenya imesajiliwa jumatano iliopita kama jetlink tanzania.na itaanza safari za dar mwanza kigoma na jro..baadae kuelekea tabora
nawatakia safari njema wadau wote wa anga tusiache kupanda ndege zilizo nafuu aijalishi ya mjomba shangazi babamakubwa
See you at The Top
kwa mara nyingine tena tuna kuja na nyuzi mpya..kama alivyosema mh waziri lengo ni kuhakikisha
kila mtu anaeitaji kusafiri mwanza kigoma arusha .aweze ruka muda wowote aijalishi kampuni gani
ya ndege..napenda kuwajia na goodnyuzi kampun ya ndege ya JETLINK kutoka kenya imesajiliwa jumatano iliopita kama jetlink tanzania.na itaanza safari za dar mwanza kigoma na jro..baadae kuelekea tabora
nawatakia safari njema wadau wote wa anga tusiache kupanda ndege zilizo nafuu aijalishi ya mjomba shangazi babamakubwa
See you at The Top