Jeshi nchini Gabon lapindua Serikali ya Ali Bongo

Shida huyu Mkuu wa majeshi wa huku ni purely CCM.. Hawezi hizo mbanga kama za GABON
 
mkuu huna ya kibantu ?
hii familia ya Bongo wameifanya Gabon ya mama yao !
Omary alitawala umri wa binaadamu, Ali naye ni uccm tu..
Sukumiza kule !
tunaamini naye mayeboyebo hatotuangusha japo wanasema ni kabila lake ila si kweli, ni wa kuja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila huyo Bongo alikuwa kiazi na si ubongo tena..

Haiwekani ukae madarakani kwa zaidi ya miongo 5 pasipp nchi kusonga mbele..

Safi sana wanajeshi na hii iwe fundisho kwa wale viongozi wapenda madaraka...
 
Shida huyu Mkuu wa majeshi wa huku ni purely CCM.. Hawezi hizo mbanga kama za GABON

Vitu kama hivyo si lazima vifanywe na wanajeshi wa ngazi ya juu, wanajeshi wa ngazi ya kati ndo huwa wanalianzisha
 
Watu kwenye utawala wanazidiana
Mu7 lzma atamuachia mtoto ama ndg yke
Mu7 anajua kucheza na waganda syo kama Hao wakina bongo

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo Baba yake HayatiOMARI BONGO alisilimishwa na GADAFI wakati Nchi yake asilimia 90 ni Wakristu na yeye ALLY BONGO alitawala kwa Ubavu sasa hiyo Stroke imembadilisha tabia.
 
Lakini Mapinduzi sio dili siku hizi,wawaachie wananchi wapige kura kwa kigezo kwamba raisi ni mgonjwa.
 
Lakini Mapinduzi sio dili siku hizi,wawaachie wananchi wapige kura kwa kigezo kwamba raisi ni mgonjwa.

Afrika kura siyo za maana tena, hapa kwetu tunapiga kura watu wana matokeo mfukoni, the only way to remove them from power ni hii ya kutumia nguvu. Siku si nyingi yatatokea ya kutokea hapa kwetu. uzuri washaanza kuwaonjesha madaraka kama alivyosema Lema.
 
"Amri ya kutotoka nje imetangazwa" inapotangazwa tahadhari kama hii na huna stock ya chakula wala nishati unafanyaje ili maisha yaende?

Ni usiku tu mkubwa....

Mchana shughuli zote zinaendelea kama kawaida

Sokoni kama kawaida....

kwenda dukani kama kawaida.....

Na kuuza na kununua kama kawaida...

Huko Gabon, nadhani kwa sasa ni saa 3asb, kama uko huko amka nenda sokoni kanunue mahitaji yako!!
 
Wameona ni heri sasa ufalme ufikie mwisho. Kweli Demokrasia ya kweli ni muhimu kwa nchi za dunia hii.
 
Hao wanajeshi wapuuzi tu. Yaani wamesubiri mpaka amekuwa mgonjwa, tena yupo nje ya nchi, tena miezi miwili toka ameugua na kuwa nje ya nchi.

Hamna kitu hapo yatayofuata yatakuwa hayana tofauti na huyo mgonjwa ama yatakuwa mabaya zaidi kuliko ya mgonjwa.

Mawazo yangu tu.

Hiyo nchi imeandaliwa machafuko na wasiojulikana nadhani.
 
Ukisikia uzalendo ndio huu sasa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…