Watu kwenye utawala wanazidianaLakini mbona Museveni anaongoza vizuri tu.
Kabisa , jifanye Kama unajikunaSafi kabisa, bado huyu hapa!
Shida huyu Mkuu wa majeshi wa huku ni purely CCM.. Hawezi hizo mbanga kama za GABON
Utasubiri sanaSafi kabisa, bado huyu hapa!
Tatizo Baba yake HayatiOMARI BONGO alisilimishwa na GADAFI wakati Nchi yake asilimia 90 ni Wakristu na yeye ALLY BONGO alitawala kwa Ubavu sasa hiyo Stroke imembadilisha tabia.Watu kwenye utawala wanazidiana
Mu7 lzma atamuachia mtoto ama ndg yke
Mu7 anajua kucheza na waganda syo kama Hao wakina bongo
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini Mapinduzi sio dili siku hizi,wawaachie wananchi wapige kura kwa kigezo kwamba raisi ni mgonjwa.
Amesema wanaenda kongo pia kulinda raia wake kipindi hiki cha kusubiria majibu.Kuna wanajeshi 80 trump alipeleka Gabon hivi majuzi,,najiukiza kama kuna uhusiano
"Amri ya kutotoka nje imetangazwa" inapotangazwa tahadhari kama hii na huna stock ya chakula wala nishati unafanyaje ili maisha yaende?
wapelekee hii habari njema kwenye ule uzi wao waone jinsi usa anavyowapendaWengine huko Kenya wanasifia kuwa na us military camp...
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Jamaa wameigeuza JF kuwa sehemu ya ku-release hewa chafu kupunguza stress za maisha.UFIPANISM/BAVICHAANISM/PUMBANISM ON THE AIR KICK TO REFRESH THEIR MINDS.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameona ni heri sasa ufalme ufikie mwisho. Kweli Demokrasia ya kweli ni muhimu kwa nchi za dunia hii.Jeshi hilo limeshikilia Kituo cha Redio ya Taifa na kutangaza kushikilia madaraka huku wakieleza kuwa lengo lao ni kurudisha demokrasia nchini humo. Luteni Kelly Ondo Obiang ndiye aliyetangaza mapinduzi hayo na kuongeza kwamba Rais Ali Bongo wa nchi hiyo ameshindwa kufanya majukumu yake ipasavyo ya kuimarisha demokrasia. Rais Bongo anapinduliwa madarakani huku akiwa nchini Morocco, akipatiwa matibabu kwa maradhi ya kiharusi kwa miezi miwili sasa. Rais huyo ambaye aliingia madarakani Oktoba, 2009, akimpokea baba yake, Omar Bongo aliyeitawala nchi hiyo kwa miaka 42. Wanajeshi na vifaru vya jeshi vimeonekana kutawala mitaa ya nji mkuu wa nchi hiyo Libreville.
Kwa nini kisitumike kikosi cha Mizinga kuzibangua hizo korosho.Huku kwetu hakuna shida jeshi letu ni la wananchi sasa hivi linanunua na kusomba korosho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisikia uzalendo ndio huu sasa .Jeshi nchini Gabon limetangaza kwamba limetekeleza mapinduzi ya serikali katika taifa hilo la Afrika Magharibi.
Wanajeshi wenye vifaru na magari ya kivita wanashika doria katika barabara za mji mkuu Libreville.
Amri ya kutotoka nje imetangazwa.
Tangazo kutoka kwa kundi la vijana wa umri wa makamo linatangazwa na kurudiwa katika kituo cha redio cha serikali nchini humo, ambapo wanasema kumekuwepo na wasiwasi kuhusu uwezo wa Rais Ali Bongo kuongoza nchi hiyo.
Wanakosoa pia viongozi wakuu wa jeshi nchini humo.
Bw Bongo amekuwa nje ya nchi hiyo kwa zaidi ya miezi miwili, akipokea matibabu nchini Morocco kutokana na maradhi ambayo hayajafichuliwa baada yake kuugua akiwa ziarani Saudi Arabia.
Familia ya Bongo imetawala taifa hilo kwa miaka 51 iliyopita, na imetuhumiwa kwa kujilimbikizia mali na utajiri mkubwa kutokana na rasilimali za taifa hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app