Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,322
- 33,126
hivi wakuu tuna silaha kali kama nyuklia au? Hii habari ya migingo migingo tungesettle scores once and for all......ungekuwa ni sisi
anyways siombei vita lakini naulizia tu uwezo wa kizana wa jeshi letu just in case...wana bajeti ya kutosha? Mafunzo wanapata wapi, kina nani wanaenda nk.? Tuna kikosi cha makomando kama wenzetu (special forces?)
... ningependa kuwashukuru kwa kutuweka katika nafasi ya sisi kukaa na kuwa ma ARM CHAIR CRITICS usiku na mchana ili hali TPDF wakiwa kazini kutulinda 24/7
...imagine wanajeshi wetu kutembea from MNAZI MMOJA kupitia Bibi titi Mohammed rd kulekea Alihassan Mwinyi mpaka HQ zao pale UPANGA...
hili si jeshi la wananchi ni jeshi la mafisadi na majambazi pia ni jeshi la kurepu wanawake pemba ni jeshi la kizamani ambalo halina muelekeo wowote
I agree with you, Joka. Despite recently shortfalls here and there, JWTZ has made our nation proud for such a long time. Kama watu walikuwa wakiiangalia Tanzania enzi hizo, moja ya sehemu waliyokuwa wakiipa heshima ni nidhamu na kazi ambayo JWZT ilikuwa ikiifanya. Haikuwa ndio chuo cha marais wa TZ kama Nigeria, haikusaidia watawala wabovu kama Zaire na kwingine...walijitoa kwa dhati kusaidia watu wengi waliokuwa na matatizo mbalimbali. Ipo haja sasa ya kusoma nini walifanya kina Silas Mayunga, Mwita Marwa, Muhidin Kimaryo,David Musuguri, Abdallah Twalipo na wengine wengi...Natamani ningewasoma kama vile ninavyowasoma kina George Patton, Douglas MacArthur, Erwin Rommel, Montgomerry etcGM,
..mimi ningependa sana makamanda wa Operation mbalimbali za JWTZ waandike vitabu.
..karibu makamanda wote walioongoza majeshi ya Marekani ktk vita vya Iraq wameandika vitabu.
Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam wakiangalia moja ya vifaru vya kurushia makombora vya JWTZ katika maonesho ya maadhimisho ya miaka 45 ya Jeshi hilo kwenye viwanja vya Kikosi cha Anga Dar es Salaam juzi. (Picha na Mroki Mroki).