NAMKWAKWA
Member
- May 16, 2013
- 43
- 38
Kile kinachoonekana kama kutumia nguvu kubwa na kukiuka haki za binaadamu,jeshi la wananchi linaendelea na utekelezaji wa order waliyopewa na mkuu wa nchi kupiga watu,leo asubuhi JWTZ wamevamia eneo la Magomeni Manispaa ya Mtwara Mikindani na kuendelea na Operation ya kupiga Raia.
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania lilianzishwa tarehe 01 Septemba 1964 Kwa lengo la kulinda mipaka ya nchi .
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania lilianzishwa tarehe 01 Septemba 1964 Kwa lengo la kulinda mipaka ya nchi .