johnson.linus
Member
- Feb 2, 2012
- 5
- 0
hi wananchi wenzangu mnaona kuna umuhimu wa jeshi la polisi kuendelea kuwepo nchini?
kwa upande wangu sioni haja ya kuwepo kama badala ya kuwalinda wananchi ndo linaongoza kuuwa raia wasiokuwa na hatia yoyote!
kwa upande wangu sioni haja ya kuwepo kama badala ya kuwalinda wananchi ndo linaongoza kuuwa raia wasiokuwa na hatia yoyote!