Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 755
- 468
Yani mmesahau kuwa abiria huwa wanaondoka na timetable, mmechelewesha abiria kituoni sababu ya ukaguzi?
Mbona mnapenda kufanya yenu tu ndio yaelekee ila hamjali mambo ya wengine, mlishindwaje kukagua gari usiku muache asubuhi na mapema gari ziondoke kwa ratiba.
Kweli ni haki kucheleweshewa safari sababu ya ukaguzi? Hamjui ratiba?
Mbona mnapenda kufanya yenu tu ndio yaelekee ila hamjali mambo ya wengine, mlishindwaje kukagua gari usiku muache asubuhi na mapema gari ziondoke kwa ratiba.
Kweli ni haki kucheleweshewa safari sababu ya ukaguzi? Hamjui ratiba?