Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Binafsi sidhani kama kulichunguza Jeshi la Polisi kutaleta ufumbuzi wa matatizo yanayolalamikiwa na wananchi.
Tatizo la Jeshi la Polisi ni viongozi wake. Viongozi wa Jeshi la Polisi hawana weledi, uadilifu ktk utendaji kazi wao viongozi wa jeshi la polisi wapo kimaslahi na kisiasa, ukienda upande wa usalama barabarani ni rushwa tu
Ukienda upelelezi ndio hakuna kitu ni kubambikiana kesi bila kufuata sheria
Jeshi la polisi mpaka leo hii halina majibu kwa matukio makubwa kama haya
1. Kupigwa Risasi 16 kwa LISSU
2. Kutekwa kwa Mfanyabiashara MO
3. Kupigwa Risasi na kuuawa kwa AKWILINA
4. Kupotea kwa BEN SAANANE
5. Kupotea kwa AZORY
Juzi wakati wa kesi ya ugaidi ni aibu tu kwa jeshi la polisi kesi ya kutungwa ushahidi wa kutungwa hata taratibu za kazi polisi wake hawazijui kesi inafunguliwa kabla ya mtuhumiwa kukamatwa.
Kesi ya ugaidi ya mbowe imelivua nguo jeshi la polisi
Endapo jeshi la polisi na viongozi wake wangekuwa waadilifu na wanatenda kazi kwa kuzingatia pgo yao haya malalamiko ya wananchi yasingekuwepo
Wakati umefika wa kulifumua na kuliunda upya jeshi la polisi kuwatoa viongozi wote na kuanza upya
Tatizo la Jeshi la Polisi ni viongozi wake. Viongozi wa Jeshi la Polisi hawana weledi, uadilifu ktk utendaji kazi wao viongozi wa jeshi la polisi wapo kimaslahi na kisiasa, ukienda upande wa usalama barabarani ni rushwa tu
Ukienda upelelezi ndio hakuna kitu ni kubambikiana kesi bila kufuata sheria
Jeshi la polisi mpaka leo hii halina majibu kwa matukio makubwa kama haya
1. Kupigwa Risasi 16 kwa LISSU
2. Kutekwa kwa Mfanyabiashara MO
3. Kupigwa Risasi na kuuawa kwa AKWILINA
4. Kupotea kwa BEN SAANANE
5. Kupotea kwa AZORY
Juzi wakati wa kesi ya ugaidi ni aibu tu kwa jeshi la polisi kesi ya kutungwa ushahidi wa kutungwa hata taratibu za kazi polisi wake hawazijui kesi inafunguliwa kabla ya mtuhumiwa kukamatwa.
Kesi ya ugaidi ya mbowe imelivua nguo jeshi la polisi
Endapo jeshi la polisi na viongozi wake wangekuwa waadilifu na wanatenda kazi kwa kuzingatia pgo yao haya malalamiko ya wananchi yasingekuwepo
Wakati umefika wa kulifumua na kuliunda upya jeshi la polisi kuwatoa viongozi wote na kuanza upya