Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,150
- 137,132
Hii siyo sawa kabisa.
Inaenda kukaribia miezi sita sasa tokea Tundu Lissu anusurike katika shambulizi la kutaka kumuua.
Tukio lilitokea mchana kweupe, tena kwenye makazi ya viongozi waandamizi wa bunge na serikali.
Cha ajabu kabisa [at least kwangu mimi], hakuna hata updates kutoka kwa jeshi la polisi kuhusu huo uchunguzi umefikia wapi.
Hata kutaja person of interest hakuna! Kutaka suspect hakuna!
Sasa watu tuwafikirieje hao polisi?
Au ni mimi tu ambaye sijui kuwa wanatoa updates?
Huu ukimya wa polisi unatoa uhalali kwa tuhuma za uhusikaji wa serikali katika zoezi zima.
Ajabu kabisa!!!
Inaenda kukaribia miezi sita sasa tokea Tundu Lissu anusurike katika shambulizi la kutaka kumuua.
Tukio lilitokea mchana kweupe, tena kwenye makazi ya viongozi waandamizi wa bunge na serikali.
Cha ajabu kabisa [at least kwangu mimi], hakuna hata updates kutoka kwa jeshi la polisi kuhusu huo uchunguzi umefikia wapi.
Hata kutaja person
Sasa watu tuwafikirieje hao polisi?
Au ni mimi tu ambaye sijui kuwa wanatoa updates?
Huu ukimya wa polisi unatoa uhalali kwa tuhuma za uhusikaji wa serikali katika zoezi zima.
Ajabu kabisa!!!
