Jeshi la polisi na kizungumkuti cha mil 150

Jeshi la polisi na kizungumkuti cha mil 150

Naibili

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2011
Posts
1,878
Reaction score
1,061
wakuu heshima kwenu,
tangu wakamatwe majambazi waliopora kariakoo juzi imekuwepo sintofahamu ya wapi zilipo pesa zilizo ibiwa wakati jambazi limekamatwa, mpaka ilipelekea jana tar 19 baadhi ya waandishi walienda kumhoji mwenye duka ambalo jambazi lilikimbilia kama jambazi liliacha pesa (source Itv news),
imeripotiwa leo na baadhi ya vyombo vya habari kuwa jambazi limekufa likiwa hospitali!
binafsi ningependa kujua nini kimemuua jambazi?

update
Polisi yaunda tume kuchunguza kama kweli polisi wenzao wamehusika na upotevu wa fedha zilizoporwa.
 
Amekufa kwa Sababu anamjua alkydchukua 150 milioni

Macinkus
 
Eti jeshi la kulinda usalama wa raia na mali zake kumbe ni jeshi la kuua raia na kuiba mali zao!
 
Eti jeshi la kulinda usalama wa raia na mali zake kumbe ni jeshi la kuua raia na kuiba mali zao!

njaa kitu mbaya saana, watuambie ni wapi hela zipo
 
wakuu heshima kwenu,
tangu wakamatwe majambazi waliopora kariakoo juzi imekuwepo sintofahamu ya wapi zilipo pesa zilizo ibiwa wakati jambazi limekamatwa, mpaka ilipelekea jana tar 19 baadhi ya waandishi walienda kumhoji mwenye duka ambalo jambazi lilikimbilia kama jambazi liliacha pesa (source Itv news),
imeripotiwa leo na baadhi ya vyombo vya habari kuwa jambazi limekufa likiwa hospitali!
binafsi ningependa kujua nini kimemuua jambazi?

Hili ndo jeshi la polisi Tanzania mkuu, jiulize kila ukisikia wapika gongo au wavuta bangi wamekamatwa, bidhaa zao zinaenda wp? polis wetu njaa sana, kama wanakunywa hata gongo itakuwa mil150? angalia tarehe usome nyakat, leo tuna tar 20, unadhan Christmas itaendaje? chezea Tanzania wewe.:behindsofa:
 
halafu hili suala la polisi wamemuuwa jambazi hebu tujaribu kuliangalia kwa jicho la 3, sasa huyu aliyefiya hospital inaonesha aliliwaona wakichukua hilo fuko la hela . polisi wanauwa watu halafu viongozi wao wanatoa majibu mepesi , pale tegeta walimpiga kijana kwa bomu lkn kenyera akasema jijana hajajerushiwa na polisi na kwamba yupo salama pale hospitala kesho yake kafariki na wako kimya mpak leo. Mzee mwema ataishia kuunda tume kila siku
 
wakuu heshima kwenu,
tangu wakamatwe majambazi waliopora kariakoo juzi imekuwepo sintofahamu ya wapi zilipo pesa zilizo ibiwa wakati jambazi limekamatwa, mpaka ilipelekea jana tar 19 baadhi ya waandishi walienda kumhoji mwenye duka ambalo jambazi lilikimbilia kama jambazi liliacha pesa (source Itv news),
imeripotiwa leo na baadhi ya vyombo vya habari kuwa jambazi limekufa likiwa hospitali!
binafsi ningependa kujua nini kimemuua jambazi?

Ndugu yangu Mkuu Naibili Kilichomuua hapo ni USHAHIDI AMBAO ANGETOA KUHUSU ZILIPO HIZO PESA. Maaskari wetu mara nyingi hawapo bure pale wanapopambana na majmbazi ni kwa maslahi yao. Cheza na Polichi wee!!!
 
hii kitu nimeikuta ikijadiliwa sana leo kariakoo kwenye mabaraza ya kahawa.
nadhani polisi wanatakiwa kutoa taarifa zaidi juu ya hili tukio ili kuondoa wingu jeusi kutoka kwa raia kwa jeshi lao.
 
Pesa zimemponza huyo mtuhumiwa. gazeti la magamba limeweka wazi namna polisi walivogawana mahela huko jangwani
wakuu heshima kwenu,
tangu wakamatwe majambazi waliopora kariakoo juzi imekuwepo sintofahamu
ya wapi zilipo pesa zilizo ibiwa wakati jambazi limekamatwa, mpaka
ilipelekea jana tar 19 baadhi ya waandishi walienda kumhoji mwenye duka
ambalo jambazi lilikimbilia kama jambazi liliacha pesa (source Itv
news),
imeripotiwa leo na baadhi ya vyombo vya habari kuwa jambazi limekufa
likiwa hospitali!
binafsi ningependa kujua nini kimemuua jambazi?
 
Pesa ziliangukiwa na kitu cha ncha kali na kwa bahati mbaya zikawaka moto na kuteketea..katika harakati za kuzima moto huo bwana Jambazi suruali yake ilishika moto na kusababisha kupoteza maisha. Uchunguzi unaendelea zaidi eneo la tukio ili kubaini Kama yale majivu yalikuwa ni pesa au ni majivu yaliyomwagwa na mama ntilie"-Msemaje wa tukio
 
Senso yuko wapi na majibu yake ya hovyo hovyo yasiyo na sense kabisa!this time angesema zile hazikuwa pesa,majambazi walipotezwa kwa taarifa fake,waliouawa hawakuwa na pesa walikuwa na begi yaliyo na nguo na vitu vingine!!Sensoooo!!!!
 
Jamani sikukuu hii wamegawana pasu pasu Kova nae kala mgao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom