Hiyo picha siyo ya tanzania.Ni ya nchi zingine.Mtu aliyeileta kachomekea.
Kwa kitendo alichofanya huyu askari wa jeshi la polisi ni kulidhalilisha jeshi hilo.
Miongoni mwa mafunzo yanayotolewa wakati wa mafunzo ya jeshi la polisi ni 'mafunzo ya ukakamavu' ambayo humuwezesha kukabiliana na mazingira magumu kwa wakati wowote ule!
Kuna siku nilimuona kamanda Kova na wenzake wakipita juu ya moto mkali! Unadhani ni kwanini walifanya hivyo? Ni kuwatengenezea ukakamavu!
Kitendo cha askari wa jeshi la polisi tena kijana aliyefunzwa ukakamavu kubebwa mgongoni na kijana ambaye hajafunzwa ukakamavu wowote ule unaotambulika kisheria eti kuvushwa kwenye kidimbwi cha maji ni 'AIBU' kwa jeshi hilo na hali hiyo inaonyesha udhaifu mkubwa uliopo ndani ya jeshi la polisi!
Jeshi la polisi ni lazima limfukuze askari huyo ndani ya utumishi wa jeshi hilo ili kuilinda nidhamu na maadili ya uwajibikaji ndani ya jeshi hilo!
Hata Mimi limenistajabisha sana hilo.Kwa kitendo alichofanya huyu askari wa jeshi la polisi ni kulidhalilisha jeshi hilo.
Miongoni mwa mafunzo yanayotolewa wakati wa mafunzo ya jeshi la polisi ni 'mafunzo ya ukakamavu' ambayo humuwezesha kukabiliana na mazingira magumu kwa wakati wowote ule!
Kuna siku nilimuona kamanda Kova na wenzake wakipita juu ya moto mkali! Unadhani ni kwanini walifanya hivyo? Ni kuwatengenezea ukakamavu!
Kitendo cha askari wa jeshi la polisi tena kijana aliyefunzwa ukakamavu kubebwa mgongoni na kijana ambaye hajafunzwa ukakamavu wowote ule unaotambulika kisheria eti kuvushwa kwenye kidimbwi cha maji ni 'AIBU' kwa jeshi hilo na hali hiyo inaonyesha udhaifu mkubwa uliopo ndani ya jeshi la polisi!
Jeshi la polisi ni lazima limfukuze askari huyo ndani ya utumishi wa jeshi hilo ili kuilinda nidhamu na maadili ya uwajibikaji ndani ya jeshi hilo!
Kupanda daladala bure kulipitishwa na bunge la tisa, hivyo ni sheria inayotambulika. Kusihusihwe na kubebwa mdebwedo kama alivyo huyu makamasi.
Kupanda daladala bure kulipitishwa na bunge la tisa, hivyo ni sheria inayotambulika. Kusihusihwe na kubebwa mdebwedo kama alivyo huyu makamasi.
Mkuu nikuhakikishie tu kuwa ingekuwa ni kwenye nchi zinazoelewa ni nini maana ya jeshi huyu angekuwa kizuizini muda huu! Hiyo ni fedheha kubwa kwa neno 'jeshi'
Elli kama unaunga mkono afukuzwe basis mie napendekeza yule askari aliyetumia mbinu za kikomandoo kumficha Makonda kwapani pale Ubungo na kuokoa maisha yake asidhuriwe Apandishwe cheo. Pia Makonda apewe tuzo LA uvumilivu kwani pamoja na joto LA Dar aliweza kuweka pua yake kwenye kwapa LA Afande kwa dakika kadhaa tena kwa utulivu uliotukuka.