Alikuwa Mahita.Mambosasa ameanza usanii wa kova, visu vina rangi ya bendera ya cuf, ili kuaminisha wananchi vyama vya upinzani havifai, police wanatafuta Kiki, magu wape vyeo
bunduki iliyofungwa matambara hata trigger haionekani, itatumikaje kikamikifu kwenye shambulioWameona kununua wapinzani hakulipi sasa wamekuja na hii style mpya ambayo ni ya kipuuzi na kijinga kabisa.
Alafu wangekuwa na nia ya kuficha hiyo bunduki wangeifunga nusu nusu hivyo huku sehemu zingine zinaonekana?
Wamekosa maarifa na akili hawa watu!
Trump yuko sahihi sana!!
Mbowe alishasema chadema ni chama,hakikosi machangu,majambazi hata mafisadiMaigizo hapo yanaanza.
kuna majambazi wana mbio kuizidi hata San LG ndo maana ikawa mzigo kwaohi ni aibu kubwa sna kutumika kisiasa.hao CDM WAKIENDA KUIBA WANAENDA NA BENDERA?
acha kutoa uongo km uanamini polisi hawasemi ukweli chukua hatua za kisheria dhidi yaoInasikitisha kuona Jeshi la Polisi likitumika kufanya siasa za kipuuzi namna hii. Mwaka 2005 walifanya ujinga huo huo walipofai eti wamekamata shehena ya visu vyenye rangi kama bendera ya CUF. Kumbe ilikuwa ni kukichafua tu hicho chama siku moja kabla ya uchaguzi
Zina ishaje kwa mfano, wakati Mwigulu ndo waziri mwenye dhamana?
Twende kisayansi zaidi, maana katika awamu zote zilizopita, hii inamadokta + professor wengi mno.Mkuu wanapoishiwa mbinu wanafanya lolote
Kwani ujambazi ni siasa? au kisa umeona hiyo bendera? kwa wengine hiyo sio bendera ni kitambaa tu. Ili uite bendera ni wewe na ufahamu wako ni kama bushman alivyoishangaa chupa ya soda na wakati wewe ulimshangaa bushman kwa kushangaa.
Hao ni makada wa chama cha wasiojulikana ndiyo maana polisi hawajakamata mtu ujue huo hi mchoro wa kukichafua chama fulani.Jeshi la Polisi Mkoani Shinyanga, limefanikiwa kuzima tukio la ujambazi katika kiwanda cha kutengeneza mafuta ya kupikia cha Jielong Holdings (Tanzania)
Aidha Majambazo hayo yametimua na kutelekeza Bunduki aina ya AK-47 yenye namba 18116428 iliyokuwa imefungwa kwenye skafu yenye rangi ya nembo ya CHADEMA pamoja na Pikipiki aina ya SANLG
Kamanda wa Polisi wa Shinyanga ACP Simon Haule akionesha pikipiki aina ya SANLG iliyotelekezwa na Majambazi hao
Kaimu Meneja Mkuu wa kiwanda cha kutengeneza mafuta ya kupikia cha Jielong Holdings (Tanzania),Bw Liu Buhua akilishukuru jeshi la polisi mkoani Shinyanga kwa kuzuia uhalifu uliotaka kufanywa na majambazi
Kiini macho chenye utata kilichotengenezwa na mtu mwenye makengezabunduki iliyofungwa matambara hata trigger haionekani, itatumikaje kikamikifu kwenye shambulio