Elevat Kapela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2017
- 630
- 1,837
Amini usiamini Dolnad Trump yuko sahihi.
hôngera sana serikari awamu ya tano imethibiti uhalifu ipasavyo!!Jeshi la Polisi Mkoani Shinyanga, limefanikiwa kuzima tukio la ujambazi katika kiwanda cha kutengeneza mafuta ya kupikia cha Jielong Holdings (Tanzania)
Aidha Majambazo hayo yametimua na kutelekeza Bunduki aina ya AK-47 yenye namba 18116428 iliyokuwa imefungwa kwenye skafu yenye rangi ya nembo ya CHADEMA pamoja na Pikipiki aina ya SANLG
Kamanda wa Polisi wa Shinyanga ACP Simon Haule akionesha pikipiki aina ya SANLG iliyotelekezwa na Majambazi hao
Kaimu Meneja Mkuu wa kiwanda cha kutengeneza mafuta ya kupikia cha Jielong Holdings (Tanzania),Bw Liu Buhua akilishukuru jeshi la polisi mkoani Shinyanga kwa kuzuia uhalifu uliotaka kufanywa na majambazi
Hii sinema ya kihindi ipelekeni Lumumba. Hivi mnawachukuliaje wa Tz, mnadhani ni mazezeta kama nyie wa " ndiyo mzee? "Jeshi la Polisi Mkoani Shinyanga, limefanikiwa kuzima tukio la ujambazi katika kiwanda cha kutengeneza mafuta ya kupikia cha Jielong Holdings (Tanzania)
Aidha Majambazo hayo yametimua na kutelekeza Bunduki aina ya AK-47 yenye namba 18116428 iliyokuwa imefungwa kwenye skafu yenye rangi ya nembo ya CHADEMA pamoja na Pikipiki aina ya SANLG
Kamanda wa Polisi wa Shinyanga ACP Simon Haule akionesha pikipiki aina ya SANLG iliyotelekezwa na Majambazi hao
Kaimu Meneja Mkuu wa kiwanda cha kutengeneza mafuta ya kupikia cha Jielong Holdings (Tanzania),Bw Liu Buhua akilishukuru jeshi la polisi mkoani Shinyanga kwa kuzuia uhalifu uliotaka kufanywa na majambazi
Kwani Area D Dodoma alikoshambuliwa Lissu hakukuwa na CCTV Camera.Tatitizo CCTV camera hakuna
ata nikilala usingizi then ukanistua ukanipa taarifa ya hivi nasema NO.