Jeshi la Polisi lamshikilia mwanaume kwa tuhuma za kumchezea sehemu za Siri mtoto

Hilo jamaa pumbavu sana halafu lina jina la kisukuma.

Hakuna wasukuma wenye akili za kishenzi namna hiyo hilo litakuwa limetoka wapi ?
 
Hilo jamaa pumbavu sana halafu lina jina la kisukuma.

Hakuna wasukuma wenye akili za kishenzi namna hiyo hilo litakuwa limetoka wapi ?
Hilo sio lisukuma,Lugendo ni watu wa huko Handeni.
 
Insikitisha sana...

Wanawake wote wa size yake walivyojazana anaenda kumuharibu mtoto mdogo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…