rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,495
- 41,916
Utawala wa Magu sijawahi sikia kesi ya Jambaziii ikisomwa mahakamani na Kama kweli watu ni majambazi nasema wapigwe risasi...!!Kwanini wasikamatwe wakafikishwa mahakamani?
Utawala wa Magu sijawahi sikia kesi ya Jambaziii ikisomwa mahakamani na Kama kweli watu ni majambazi nasema wapigwe risasi...!!Kwanini wasikamatwe wakafikishwa mahakamani?
Eneo la tukio yaliokotwa maganda 12, na ambayo hayakuokotwa Ni mangapi?Kuna tukio lilitokea pia arusha, "arapisii" akiwa ni yule kada wa fisiem alohamishiwa chuoni moshi,tukaambiwa kulikuwa na stand off ya takribani masaa mawili au matatu wakirushiana risasi makaka jambazi na polis, lakin kwenye taarifa tukaambiwa eneo la tukio yaliokotwa maganda ya risasi yasiyozidi 12, sasa unajiuliza kwa muda wa masaa mawili au matatu hiyo stand off ndo zilirushwa risasi 12 tu kutoka kwa majambazi??
Huyo mambosasa ni empty head kabisa! Toka aseme risasi ilikata kona ikamuua akwilina huwa simtofautishi na pimbi
Unamkamataje mtu anayekurushia risasi, hebu explain hapo mkuuKwanini wasikamatwe wakafikishwa mahakamani?
Siku ukipigwa wewe mwenyewe kwa uonevu akili zitakaa sawaUtawala wa Magu sijawahi sikia kesi ya Jambaziii ikisomwa mahakamani na Kama kweli watu ni majambazi nasema wapigwe risasi...!!
Mkuu umewahi kuwaona wakirushiana live au huwa ni historia? acha watu wakamatwe wapelekwe mahakamaniUnamkamataje mtu anayekurushia risasi, hebu explain hapo mkuu
Sasa ulichojiuliza Ni kipi wakati umeona upande wa mbele tu wa hiyo gari mzee,Hahahaaa mie nimejiuliza pia. Au sie raia hatuelewi hayo mambo
Huko ndio jibu?Mkuu kama unaona polisi ni waongo pengine hilo tukio halijatokea. Fanya ushughuli za ujambazi harafu, ukipata nafasi utakuja kuleta mrejesho.
Nimewahi ndio, dar hapa hapaMkuu umewahi kuwaona wakirushiana live au huwa ni historia? acha watu wakamatwe wapelekwe mahakamani
Sasa ulichojiuliza Ni kipi wakati umeona upande wa mbele tu wa hiyo gari mzee,
Kama wale madereva Tax wa Morogorogo waliokuwa na madini daah.. Sema hawa walikutwa on the move kufanya ujambazi sasa hapo unatagemea nini!!Siku ukipigwa wewe mwenyewe kwa uonevu akili zitakaa sawa
Kwanini wasikamatwe?Kama wale madereva Tax wa Morogorogo waliokuwa na madini daah.. Sema hawa walikutwa on the move kufanya ujambazi sasa hapo unatagemea nini!!
Halafu hawa ndio wengi zaidi na madhara yao ni mazito zaidi.Vipi majambazi wa kalamu mnaanza kupambana nao lini?
Unaendaje kumkamata Jambazi ambae ameshika Bunduki???? Utakuwa tahiraa mkuuu...Kwanini wasikamatwe?
Hata mimi nashanga halina hata tobo la risasi.Mimi naomba kuuliza gari lililopigwa risasi mpaka kuua majambazi waliokuwemo ndani ndo hilo?
Jamaa anachukulia simple sanaUnaendaje kumkamata Jambazi ambae ameshika Bunduki???? Utakuwa tahiraa mkuuu...
Hujaelewa, aliyekutwa ndani ya gari alikuwa tayar mfuHata mimi nashanga halina hata tobo la risasi.
Na huyo jambazi ambaye amekutwa ndani baada ya upekuzi kwanini hawajamkamata nakwenda kumuhoji amekufa muda gani!?
Waandishi wa vyuo vya ghorofa ya ilala na kariakoo huwa hawawezi kuuliza maswali wakishpewa taarifa wanawahi kuichapisha.
Mtu ashazoea kuua raia wa kawaidaa leo hii polisi Aanze kumsogeleaa???? Me nkajua unatetea suala la kuuliwa raia wasiokuwa na hatia wakidhaniwa ni majambazi kumbe unatetea Majambazi kabisaa??? Sio mzima weww mkuu nasema Wapigwe risasi tu tena za kutoshaa..Kwanini wasikamatwe?
Kabisaa hata alieshikaa kisu tu sio wa kumsogelea ni watu waliokata tamaa juu ya uhai wao na hawaoni shida kuua kabisaa...!!Jamaa anachukulia simple sana