Prisonerx
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 681
- 1,782
Lugha ya polisi boss..Tunaomba picha za ubavuni za gari, haiwezekani gari ishambuliwe kwa risasi halafu ibaki mpya kiasi hicho!
Majambazi hayo yalianza kurusha risasi hovyo ilihali yalikuwa yanajua kabisa yana risasi chache, risasi 4 ndani ya 12bore pump action na 4 ndani ya pistol halafu yachezee risasi hovyo?
Hilo jambazi moja lilikimbia vipi mashambulizi yakiwa yanaendelea kwenye gari