kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Mwanaume kuwa shoga sio jambo njema kabisa ni jambo la aibu
MUNGU mwenyewe amekataa jambo na akasema ni chukizo kwake lakini kuna mapanya fulani uko juu wanajifanya wao wana mjua Mungu zaidi au wao ndo Mungu wa hii dunia kuhalalisha alicho kikataa Mungu
Hile nchi aina mwisho mzuri
Lengo lao au furaha yao ni kuona wanawake wamekuwa juu zaidi na wanaume wamekuwa chini
Just imagine mwanaume akiwa shoga tabia zake ni za kike
Na mwanamke akiwa msagaji tabia zake ni za kiume tunapotea jamani Mungu tusaidie
MUNGU mwenyewe amekataa jambo na akasema ni chukizo kwake lakini kuna mapanya fulani uko juu wanajifanya wao wana mjua Mungu zaidi au wao ndo Mungu wa hii dunia kuhalalisha alicho kikataa Mungu
Hile nchi aina mwisho mzuri
Lengo lao au furaha yao ni kuona wanawake wamekuwa juu zaidi na wanaume wamekuwa chini
Just imagine mwanaume akiwa shoga tabia zake ni za kike
Na mwanamke akiwa msagaji tabia zake ni za kiume tunapotea jamani Mungu tusaidie