Mkuu mbona umejenga porini hakuna hata majiraniKuna kajumba ka kupangisha nimekajenga sehemu. Nyumba hii ni vyumba vitatu vya kulala,sebule,jiko na vyoo viwil kama kawaida.
Sasa wakati wa kuezeka kama kawaida nilivyozoea najua ni kazi ya siku 3-5. Fundi alienijengea akaniambia ana watu wake wa kuezeka wanaezeka kwa siku moja tu yaani wanakuja asubuhi 0600 jioni 1800 wanakabidhi kazi! Nikamuuliza mara mbili mbili akaniambia wanaweza ma kazi ni kiwango.
Akaniunganisha na hawa mafundi. Wakanipa list ya material na wakasema wanaweza kulala site ili waanze saa 0600 nikawaambia site hairuhusu kulala au kutumza vifaa basibwakasema watakuja asubuhi.
Asubuhi wakafika pale saa 0600 mpaka vifaa kufika site wakaanza kazi 0800. Mimi nilifika site around 1600 hivi na nilikuta wanamalizia kuweka mabati sehemu iliobaki kama robo tu ya nyumba nzima. Na kazi ilikuwa kiwango cha juu. Kufika 1830 wamemaliza na wakasema kama vifaa vingewahi ningekuta kazi imeisha. Kwa kweli nilishazoea kuezeka ni kazi ya siku tatu na kuendelea. Nyumba ilitumia mabati 95, mbao 2*2 100pcs na 2*4 150pcs. Mafundi walikuwa 8. Wote mafundi hakuna kibarua.
View attachment 3588379
Size kuendena na ukutaDirisha size ya kati ni kipimo gani ? Unajua upana wa huo ukuta?
Inategemeana na mchoro wa paa, aina ya bati unayoezeka na idadi ya mafundi.Sasa mimi nilizoea hawa wa siku 3/4
Nyumba yako ina ukubwa gani mkuuKawaida huwa anakuja fundi mmoja au wawili na vibarua. Hawa huwa wanatumia siku 3-4 wakijitahidi siku 2. Hawa jamaa wanakuja kulingana na ukubwa wa nyumba na wanamaliza siku moja tu.
Kama kupiga bati tuu canch tayari hapo sawa lakini kama kupiga canch na kuweka bati siku moja hapa unatupiga brooKuna kajumba ka kupangisha nimekajenga sehemu. Nyumba hii ni vyumba vitatu vya kulala,sebule,jiko na vyoo viwil kama kawaida.
Sasa wakati wa kuezeka kama kawaida nilivyozoea najua ni kazi ya siku 3-5. Fundi alienijengea akaniambia ana watu wake wa kuezeka wanaezeka kwa siku moja tu yaani wanakuja asubuhi 0600 jioni 1800 wanakabidhi kazi! Nikamuuliza mara mbili mbili akaniambia wanaweza na kazi ni kiwango.
Akaniunganisha na hawa mafundi. Wakanipa list ya material na wakasema wanaweza kulala site ili waanze saa 0600 nikawaambia site hairuhusu kulala au kutumza vifaa basibwakasema watakuja asubuhi.
Asubuhi wakafika pale saa 0600 mpaka vifaa kufika site wakaanza kazi 0800. Mimi nilifika site around 1600 hivi na nilikuta wanamalizia kuweka mabati sehemu iliobaki kama robo tu ya nyumba nzima. Na kazi ilikuwa kiwango cha juu. Kufika 1830 wamemaliza na wakasema kama vifaa vingewahi ningekuta kazi imeisha.
Kwa kweli nilishazoea kuezeka ni kazi ya siku tatu na kuendelea. Nyumba ilitumia mabati 95, mbao 2*2 100pcs na 2*4 150pcs. Mafundi walikuwa 8. Wote mafundi hakuna kibarua.
Kwa mtu ambaye hajafanya ujenzi hawezi kuelewa kwa hiyo msamehe. Anashindwa kujua kuwa huo siyo ujenzi wa tofali useme unajenga msingi na kupandisha kozi za tofali na kufunga lenta siku hiyohiyo, maana lazima usubiri tofali na zege likauke kwanza.Mkuu usibishe kitu kwasababu hujawahi kuona. Hao jamaa ndio utaratibu wao. Wanakuja idadi kulingana na nyumba.