EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Waarabu hawajawahi kuwa na akili. Tena hawa wavaa makobazi ndo mambumbumbu 100%
Sent using Jamii Forums mobile app
Waarabu hawajawahi kuwa na akili. Tena hawa wavaa makobazi ndo mambumbumbu 100%
Sent using Jamii Forums mobile app
Magaidi mengi ya hammas waliifia mapangoni kama panya buku kwenye yale mashambulizi ya anga ya Israel
sasa kuna usalama gani kwenye hilo eneo mkuu ha ha ha ha
wewe unaitwa nani kama wao wanaitwa magaidi
ThubutuWapalestina wana umoja kama siafu... Ukiwaua ndio wanazidi kuja
Hapo ndo shida ilipoSio siri hawa jamaa ni vichaa
Yani badala ya kushangilia vita imeisha wao wanawaza ushindi, sijui ni nani kawadanganya wameshinda maana maisha ya watu wao 232 yamepotea.
Hapo ndo mwanzo wa tatizo. Kuna siri nyingi za kibiblia zimejificha kwenye mzizi wa tatizoKosa la wa-Israel walitakwa kutii amri ya Mungu wao ya kuwamaliza kabisa hawa wafilisti ( Waparestina wa leo); sasa amri ya Mungu hawakuitii na ndiyo maana hawa waparestina (Wafilisti wa kale) watawasumbua sana.
Wapi nimewasifia? Naongelea vile walivyo na umoja hata katika hatari