Jerusalem: Vurugu mpya zaibuka katika mji wa Jerusalemu Mashariki

Unajuwa hivi vikundi kwao ushindi au kushindwa ni ile hali ya kupoteza wapiganaji wao au uwezo wa kurusha makombora yao sasa kufa 240 kwao sio issue kwa maana ni nani hao 240 kwa kauli ya Nentanyau alisema hatasimama mpaka ahakikishe kadhoofisha hamas viongozi wao na uwezo wao kurusha makombora kutoa mizizi sasa hilo hakuweza mpaka vita wanasimamisha makombora yanarushwa tu kwa hiyo Netanyau kaenda kinyume na kauli yake Hamas bado wapo sana tu waliokufa wengi ni raia wa kawaida. kama walikuwa wanarusha makombora alfu 3 kwa siku ukawapiga kila siku ili wasiweze kurusha hayo makombora siku zinaisha bado makombora yanaenda tu hapo kuna kitu umekosea ila kipimo ingekuwa walianza na alfu 3 baada ya kipigo wakawa 500 tu unasema yes operation imekuwa na mafanikio lakini haikuwa hivyo kwa goal was not achieved.
Kwaio wameshinda
 
Kwaio wameshinda
Hawajashinda na wala hakuna aliyeshinda. Hamas wanatizama maslahi yao na nafasi yao hawajali watu kufa kwa bahati mbaya na Nentanyau hii pia ilikuwa kwake njia ya kubaki madarakani kuonesha yeye shujaa. Hamas hawezi kupigana na Israel vita vya wazi sababu ni vitu viwili tofauti na wana malengo tofauti. Israel ni nchi na ina jeshi la kisasa na wanapokea 3 Billion kila mwaka toka USA msaada wa kijeshi tu huwezi kushinda na mtu wa hivyo ila kwa Hamas na udogo wao wanaona yes tumerusha makombora pamoja na ubora wao sasa hujui malengo yao ni nini au kipimo chao nini kusema tumeweza. Mimi nasema hakuna mshindi ila wameuwa watu wasio kuwa na hatia tu poor ujinga.
 
Hawa wapalestina kweli hayawani! wameuliwa 230, majeruhi na vilema kibao, majumba yamebomolewa, miundombinu imeharibiwa halafu wanasema wameshinda vita šŸ¤£
 
vita ya kagera watanzania wengi walikufa lakin tulishinda vita muda huu israel kama mpole baada ya juhudi za kulimaliza kundi la hamas kwa kuvunja nyumba kufeli
Vita ya Kagera tulimtoa nduki Amini, Vipi Wapalestina wamemtoa nduki Netanyahu?
Tumia akili kidogo.
 
Hawajashinda na wala hakuna aliyeshinda. Hamas wanatizama maslahi yao na nafasi yao hawajali watu kufa kwa bahati mbaya na Nentanyau hii pia ilikuwa kwake njia ya kubaki madarakani kuonesha yeye shujaa. Hamas hawezi kupigana na Israel vita vya wazi sababu ni vitu viwili tofauti na wana malengo tofauti. Israel ni nchi na ina jeshi la kisasa na wanapokea 3 Billion kila mwaka toka USA msaada wa kijeshi tu huwezi kushinda na mtu wa hivyo ila kwa Hamas na udogo wao wanaona yes tumerusha makombora pamoja na ubora wao sasa hujui malengo yao ni nini au kipimo chao nini kusema tumeweza. Mimi nasema hakuna mshindi ila wameuwa watu wasio kuwa na hatia tu poor ujinga.
Huo ni ujinga kama unapigana hujali uhai wa watu wako.
 
Sa mtu umepoteza watu 230+ na majumba miundimbinu, maji barabara majengo marefu mwenzako kapoteza watu 22 na minor damages unatoka kushangilia eti umeshinda tukisema kuna watu na viatu tunaonekana tuna gubu
Wazayuni wameshindwa vita haijalishi idadi uliyotaja, Israel hawana kawaida ya kutoa idadi halisi ya walioumizwa na kuuliwa upande wao
 
Sio siri hawa jamaa ni vichaa

Yani badala ya kushangilia vita imeisha wao wanawaza ushindi, sijui ni nani kawadanganya wameshinda maana maisha ya watu wao 232 yamepotea.
Wazayuni hawana kawaida ya kutaja idadi kamili ya walioumizwa na kuuliwa., wacha palestine washangilie
 
Baada ya Mpango wa Kusitisha Mapigano kati ya Israel na Hamas kufanikiwa chini ya upatanishi wa Misri,kuna vurugu mpya Zimeibuka kati ya Polisi wa Israel na Waandamanaji wa Kipalestina.

Hiyo inakuja ikiwa kila upande ukidai kushinda vita hivyo. Kundi la Hamas limewataka raia wote wa Palestina kuitumia siku ya leo ya Ijumaa kusherehekea ushindi huo.

Kuanzia Mitaa ya Gaza Mpaka mji unaozozaniwa wa Jerusalemu Mashariki,wapalestina wamekuwa wakipiga kelele za MUNGU MKUBWA huku wakielekea kwenye Msikiti wa AL-AQSA.

Wakati huohuo,vyombo vikuu vya habari nchini Iran Kama IRNA vimedai Wapiganaji wa Hamas wameyashinda majeshi dhalimu ya Utawala haramu wa Wazayuni. Iran imedai itaendelea kuunga mkono mapambano ya wananchi madhulumu wa Kipalestina mpaka pale watakapo fanikiwa kuufutilia mbali Utawala dhalimu na haramu wa Wazayuni.

SOURCE : DW Swahili leo Jioni.


EWE MTANZANIA MZALENDO,SHIRIKI KATIKA SHINIKIZO LA KUWATAKA WATAWALA WA NCHI HII KULETA MCHAKATO WA KATIBA MPYA YENYE UHURU NA UWAJIBIKAJI KWA RAIA NA VIONGOZI DHALIMU.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
188262946_474765943803066_6626964124427475947_n.jpg
 
Hiv unaielewa vita ya kagera wewe?....Tanzania tulishinda so kama Palestine unapigwa unashangilia Sisi tuliingia mpaka entebe kwa maana mji mkuu wa uganda hiyo haistishi tukapitiliza mpaka ikulu wapalestina wamepigwa kipigo cha mbwa koko yaani Israel anapiga mpaka anakosa kwa kupiga jinsi Palestine ilivyochakaa....uwege unasoma historia mkuu acha kufananisha wapumbavu wa Palestine na jeshi la ukombozi la tanzania
netanyau alisema atahakiki maandaki yote ya roketi yanaharibi sasa akaona kila akishambulia gaza anaishia kuuwa watoto na akina mama huku roketi zikimiminwa kama maji hapo ndo akaomba poo na kuipa lawama iran ha ha ha
Aliyeomba poo ni hammas acha unafiki dunia nzima ilisimama kuwatetea Palestine ilikuwa inateketezwa viongozi wengi wa hammas wamekufaa +raia na magaidi wenyewe mpaka Biden ameingilia kati kuiomba israel isitishe kipingo kwa hammas
 
Hawajashinda na wala hakuna aliyeshinda. Hamas wanatizama maslahi yao na nafasi yao hawajali watu kufa kwa bahati mbaya na Nentanyau hii pia ilikuwa kwake njia ya kubaki madarakani kuonesha yeye shujaa. Hamas hawezi kupigana na Israel vita vya wazi sababu ni vitu viwili tofauti na wana malengo tofauti. Israel ni nchi na ina jeshi la kisasa na wanapokea 3 Billion kila mwaka toka USA msaada wa kijeshi tu huwezi kushinda na mtu wa hivyo ila kwa Hamas na udogo wao wanaona yes tumerusha makombora pamoja na ubora wao sasa hujui malengo yao ni nini au kipimo chao nini kusema tumeweza. Mimi nasema hakuna mshindi ila wameuwa watu wasio kuwa na hatia tu poor ujinga.
Hammas nao wanapokea msaada mkubwa kutuko Iran, syria, uturuki na Qatar unafikiri makombora 4000 wamepata wapi
 
Wazayuni wameshindwa vita haijalishi idadi uliyotaja, Israel hawana kawaida ya kutoa idadi halisi ya walioumizwa na kuuliwa upande wao
Toeni takwim nyie, wakipachwa mnakuja mnalialia saivi mnajifanya mmeshinda, kweli nyie ni hamnazo
 
Hawajashinda na wala hakuna aliyeshinda. Hamas wanatizama maslahi yao na nafasi yao hawajali watu kufa kwa bahati mbaya na Nentanyau hii pia ilikuwa kwake njia ya kubaki madarakani kuonesha yeye shujaa. Hamas hawezi kupigana na Israel vita vya wazi sababu ni vitu viwili tofauti na wana malengo tofauti. Israel ni nchi na ina jeshi la kisasa na wanapokea 3 Billion kila mwaka toka USA msaada wa kijeshi tu huwezi kushinda na mtu wa hivyo ila kwa Hamas na udogo wao wanaona yes tumerusha makombora pamoja na ubora wao sasa hujui malengo yao ni nini au kipimo chao nini kusema tumeweza. Mimi nasema hakuna mshindi ila wameuwa watu wasio kuwa na hatia tu poor ujinga.
Na wataondoka hapo, maana jamaa lazima waongeze makazi kwa ajili ya watu wao waliopo nchi za ngambo ambao wabatakiwa kurudi nyumbani kama ilivyotabiriwa

Yeremia 32:37

Hakika nitawakusanya kutoka nchi zote nilizowafukuzia katika hasira yangu kali na ghadhabu yangu kuu, nitawarudisha mahali hapa na kuwaruhusu waishi kwa salama.
 
Na wataondoka hapo, maana jamaa lazima waongeze makazi kwa ajili ya watu wao waliopo nchi za ngambo ambao wabatakiwa kurudi nyumbani kama ilivyotabiriwa

Yeremia 32:37

Hakika nitawakusanya kutoka nchi zote nilizowafukuzia katika hasira yangu kali na ghadhabu yangu kuu, nitawarudisha mahali hapa na kuwaruhusu waishi kwa salama.
sasa kuna usalama gani kwenye hilo eneo mkuu ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom