MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,114
- 3,768
Baada ya Mpango wa Kusitisha Mapigano kati ya Israel na Hamas kufanikiwa chini ya upatanishi wa Misri,kuna vurugu mpya Zimeibuka kati ya Polisi wa Israel na Waandamanaji wa Kipalestina.
Hiyo inakuja ikiwa kila upande ukidai kushinda vita hivyo. Kundi la Hamas limewataka raia wote wa Palestina kuitumia siku ya leo ya Ijumaa kusherehekea ushindi huo.
Kuanzia Mitaa ya Gaza Mpaka mji unaozozaniwa wa Jerusalemu Mashariki,wapalestina wamekuwa wakipiga kelele za MUNGU MKUBWA huku wakielekea kwenye Msikiti wa AL-AQSA.
Wakati huohuo,vyombo vikuu vya habari nchini Iran Kama IRNA vimedai Wapiganaji wa Hamas wameyashinda majeshi dhalimu ya Utawala haramu wa Wazayuni. Iran imedai itaendelea kuunga mkono mapambano ya wananchi madhulumu wa Kipalestina mpaka pale watakapo fanikiwa kuufutilia mbali Utawala dhalimu na haramu wa Wazayuni.
Chanzo: DW Swahili leo Jioni.
EWE MTANZANIA MZALENDO,SHIRIKI KATIKA SHINIKIZO LA KUWATAKA WATAWALA WA NCHI HII KULETA MCHAKATO WA KATIBA MPYA YENYE UHURU NA UWAJIBIKAJI KWA RAIA NA VIONGOZI DHALIMU.
Hiyo inakuja ikiwa kila upande ukidai kushinda vita hivyo. Kundi la Hamas limewataka raia wote wa Palestina kuitumia siku ya leo ya Ijumaa kusherehekea ushindi huo.
Kuanzia Mitaa ya Gaza Mpaka mji unaozozaniwa wa Jerusalemu Mashariki,wapalestina wamekuwa wakipiga kelele za MUNGU MKUBWA huku wakielekea kwenye Msikiti wa AL-AQSA.
Wakati huohuo,vyombo vikuu vya habari nchini Iran Kama IRNA vimedai Wapiganaji wa Hamas wameyashinda majeshi dhalimu ya Utawala haramu wa Wazayuni. Iran imedai itaendelea kuunga mkono mapambano ya wananchi madhulumu wa Kipalestina mpaka pale watakapo fanikiwa kuufutilia mbali Utawala dhalimu na haramu wa Wazayuni.
Chanzo: DW Swahili leo Jioni.
EWE MTANZANIA MZALENDO,SHIRIKI KATIKA SHINIKIZO LA KUWATAKA WATAWALA WA NCHI HII KULETA MCHAKATO WA KATIBA MPYA YENYE UHURU NA UWAJIBIKAJI KWA RAIA NA VIONGOZI DHALIMU.