Jerusalem kwa mujibu wa BBC

Jerusalem kwa mujibu wa BBC

Wayahudi na Wakristo wala hawapingani juu ya umuhimu wa Jerusalem kwao. Wakristo wanaelewa kwamba Jerusalem ni ya Isreal. Wakienda kule wanakwenda kwa mantiki ya imani yao wala hawajawahi na hawawezi kung'ang'ania kuwafukuza Wayahudi kule eti sasa ni kwao kwa kuwa kuna chimbuko la imani yao!. Ridiculous!

Hawa waislam, kuna misingi gani ya Imani yao ya uislam katika Jerusalem?

Ndiko alikozaliwa mungu wao mohamed?

Kuna kaburi la mohamed?

Kuna nini cha imani yao katika Jerusalem?

Hawa watu ni wakorofi siku zote:-, hata ukiwapa Israel nzima haiwezi kuwapa amani kwa sababu amani yao huwa ni machafuko.

Waislam muoni haya.Oneni aibu kuwa watu wa kuanzisha machafuko na kusababisha umwagaji damu kila mnakokuwa na hata kwa majirani mnaopakana nao. Shame!
Hivi mfano kule Iraq, Syria, na Libya ni nani mwanzilishi wa vurugu na vita, siyo nyinyi hujifanya mnaenda kuwafundisha watu eti namna ya kuishi mnavyotaka ninyi walikataa mnawapiga au mnapandikiza vibaraka wenu ili mlete vita MUNGU ANAWAONA.
mnaenda kwenye nchi inautalatibu na sheria zake eti mnawalazimisha waruhusu wa KUOANA JINSIA MOJA mnaakiri MUNGU ANAWAONA.
 
Ni muhimu kutambua kuwa Uyahudi sio ukristo na hawakubaliani kwa kila kitu ktk imani, aidha ukristu ulianzia Antiokia na siyo Uyahudini ingawa wahubiri wengi wa makanisa ya kipentekoste wanapotosha umma kwa kuhusisha ukristo na Israel
Acha kulishwa matangopori na mashehe ubwabwa

Wayahudi wanatumia biblia ya agano la kale ambayo na wakristo wanaitumia

Na sio wayahud wote wanaupinga ukristo,

Na Agano la kale limesema MWISHO WA SIKU WAYAHUDI watamkubali KRISTO

Sasa msitake kuleta chuki zenu dhid ya WAYAHUDI muzipandikize kwa wakristo,


Uislamu ndio unapingana na uyahudi na ukristo

Maana mna mkataa YESU sio mwana wa Mungu na sio Mungu

Wakati biblia ya kiyahudi inasema YESU NI MUNGU
 
MUHAMAD NDIO KAWAFUNDISHA WAISLAMU WAWACHUKIE WAYAHUDI

Maandiko ya Qur-an yanaonesha wazi kuwa kabla ya hapo hata Muhammad mwenyewe alikuwa akifuata kawaida za ibada alizofundishwa na Wayahudi.
-Wayahudi walikuwa na desturi ya kusali kwa kuangalia Yerusalemu, kawaida hii ndiyo iliyotawala maisha ya Muhammad kwa takriban zaidi ya mwaka mmoja na nusu naye alikuwa akiabudu kwa kuangalia Yerusalemu.
(Qur-an 2:144 fafanuzi uk 34)

Tukio la mwaka 610 BK ndilo lililoleta mabadiliko makubwa kwa Muhammad, mwaka huo ndio ambao Muhammad
alipokea mafunuo yake mapya katika mapango ya Jabal hilaa tofauti za kimafundisho, mwenendo, n.k zilianza
kuonekana katika maisha ya
Muhammad mara tu baada ya kuanza kupokea mafunuo hayo. (maisha ya Muhamadi uk 16 shekhe Farsy).


-Hilo lilimfanya Muhammad
kuanza kupingwa na wayahudi hao, Haswa sababu kuu ni pale Muhammad alipoanza kupinga mafundisho waliyompa kama vile., Kutotia mkazo wa Kiibada katika jengo lenye asili ya upagani Al-Kaaba. Qur-an 22:29 [27:9], na Kuanza tabia ya kutangaza imani mpya ya uislam na kuwa na mafundisho yaliyo onekana
kutofautiana na yale ya kibiblia(TANAKH).
Kutokana na mafunuo hayo mapya hoja kuu ya Wayahudi ilikuwa ni juu ya mashaka waliyonayo, kuwa mafunuo haya ya Muhammadihayakuwa ya kweli, Aya ifuatayo ya Qur-an inonyesha hilo.

Qur-an Al-Baarah 2:97 Ufafanuzi uk 24 aya 97 hapa wayahudi wanampinga Malaika Jibril amhaye ndiye aliyeleta mafunuo hayo kwa Muhammad.
Na Ibada ya ijumaa inatokana na ugomvi wa Wayahudi na Muhammad.


-Kutokana na hali hiyo mahusiano baina ya Muhammad na Wayahudi
yaliharibika, Fuatilia katika aya
zifuatazo:

Qur-an 5_:82 Maadui wa Uislam ni Wayahudi
Qur-an 2:I04 [Ufafanuzi] Wayuhudi. ,walihitirafiana na Muhammad na kurushiana maneno.

Tangu hapo Muhammad hakupenda kamwe kuwiana na kile wanachofanya wayahudi katika mifumo ya kidini, na
ndipo anaitangaza rasmi siku ya ljumaa kama siku ya sala katika Ummah wa Kiislam wakati huo akiwa
Yathrib (madina),ili apingane na WAYAHUDI, kumbuka awali alifata mila zao na alisali nao siku ya sabato(JUMAMOSI).

KUANZIA HAPO MUHAMMAD AKAPANDIKIZA CHUKI KWA WAFUASI WAKE DHIDI YA MYAHUDI, Quran imejaa Aya lukuki za kuwachukia wayahudi hasa.

Mungu ibariki ISRAEL ,Mungu wabariki Wayahudi
 
nakuelewa ndugu sana sana na vizuri umenijulisha kuwa hao mitume ni wayahudi ndiyo maana nikasema hivyo ila lazima tujue mji sio dini ila dini ipo katika mji kabla ya ibrahim baba wa mababa wa dini zote uyahudi,uislam na ukristo palikuwa na watu hapo sasa tukitetea amani kwa kidini atuwezi kuipata coz imani ni roho huwezi tenga mwili na roho,hivyo udini ukishika kasi hapo tusitegemee amani ikapatikana pia kumbuka na myahudi atakwambia sulemani ni myahudi na daudi baba yake ndiyo aliwajengea huo mji na mkristo atakwmbia daudi baba yake sulemani ndiyo chanzo cha Yesu ndiyo maana anaitwa mwana wa daudi na jeruselem ndiyo mji wake unafikiri amani itapatikana hapo,nafikiri sisi tuliodandia wakristo na waislamu tukubali tu wayahudi ndiyo wenye haki asilimia mia.kwani dini zingine zimekuja na kuwakuta wayahudi.
Kidogo wewe tango mwitu unaustaalabu lakini kuna vichwa humu!
 
Kuna watu humu hawajui hata baba na mama yake walivyokutana leo wanajitia kujua mji wa jerusalem kuliko wazawa
 
Hivi mfano kule Iraq, Syria, na Libya ni nani mwanzilishi wa vurugu na vita, siyo nyinyi hujifanya mnaenda kuwafundisha watu eti namna ya kuishi mnavyotaka ninyi walikataa mnawapiga au mnapandikiza vibaraka wenu ili mlete vita MUNGU ANAWAONA.
mnaenda kwenye nchi inautalatibu na sheria zake eti mnawalazimisha waruhusu wa KUOANA JINSIA MOJA mnaakiri MUNGU ANAWAONA.

Jibu swali. Hoja iliyoko mezani ni Waislam na Jerusalem, ni wapi na wapi? Habari za hayo mengine anzisha threads zake zitajadiliwa.
 
1 ibrahim alipewa kinaitwa SUHUFI.


2
It is written in the Scriptures of Ibrahim (peace be upon him):

“O world (dunya), how insignificant you are to the righteous to whom you adorn yourself. I created in their hearts hatred towards you and dislike for you. There is nothing in creation that is more insignificant to Me than you. Everything about you is insignificant; you are bound to perish; I decreed the day I created creation that you would not last for anyone, and no one would last for you, and even if the one who loves you tried to hold on to you, glad tidings to the righteous who showed Me what they have of contentment in their hearts and they showed Me what they have of sincerity and righteousness. Glad tidings to them: I have no reward for them when they come to me out of their graves except light running ahead of them, and the angels surrounding them, until I grant them what they hope for of My mercy. Al-Zuhd, by Ibn Abi’l-Dunya.



3 ummati ibrahim


4 Ibrahim..........,......................... yesu,,paulo,,,,, ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, ,muhammad

usichanganye madesa Quraan ime refute mafundisho machafu ya paulo,kwa ibrahim ni mbali paulo hakuwepo,paulo alicheza rafu ya kumvisha ukafiri Ibrahim,Quraan ikamsafisha
Kilete hapa hicho kitabu alichopewa ibrahimu

Achen porojo
 
Mikristo isiyojua nini maana ya kuishi kwa kuvumiliana ndiyo inayosapoti Israel kujimilikisha Yerusalem yote wakati huo kumbukeni wakimaliza watoa waislamu watarudi dai na eneo la wakristo pia!!...
Yerusalem inabidi ibaki eneo la dini zote hata freemason na wasio na dini kama vipi wapate eneo tuu!!..
Hakuna kitu kama hicho, kihistoria huo mji ni wa kiyahudi na mji muhimu katika dini yao, hivyo tishio lolote la kudhuru misingi ya imani yao lazima lisipewe nafasi, habari za Mudi kutembea kuja Jerusalem ni uongo na ulaghai
 
Mkuu kuna mitume waliotumwa kueneza dini ya kiislamu ni WAYAHUDI vilevile muhimu utambue na hilo
Kwa mfano Nabii Suleiman alikuwa myahudi lkn ndie aliewaamrisha viumbe waliokua chini yake kuujenga huo msikiti na nabii suleiman alikuja kabla ya nabii Issa(Yesu)
Na chanzo cha QIBLA ni hapo.kila muislam anaposali lazima aelekee kibla na chanzo chake ndio hapo hicho kibla
Hii ni dunia nzima wanalifahamu hilo
Quraan kareem haijaacha kitu.Yote yapo ndani yake
Zaburi-Alipewa nabii Dawood
Taurat-Alipewa nabii Musa
Injili (Biblia)-Alipewa nabii Issa (Yesu)
Quraan-Alipewa nabii muhammad s,a,w
Hicho kitabu cha mwisho ndio imeviunga vitabu vyote hivyo vya mwanzo.imetaja kila kitu
I hope utakua umenielewa mkuu
Mnapenda kumlazimisha mtu suleimani alijenga msikiti
 
Umesoma kilichoandkwa? Au unapayuka tu. Jerusalem ni mji uliobeba imani kuu tatu Uislamu wakiamini kuwa Ibrahim alimzaa Ismail.
Wakirstu wakiamini Ibrahim alimzaa Isyaqa.
Wayahudi (Judaism) wakiamini Ibrahim ni baba yao na ndiye aliyeambiwa atoke alipo aende nchi ya ahadi nayo ni kunanii.
Yeye ni baba wa watoto wawili Ismail na Isaka nayeye hakuna sehemu iliyoandikwa kuwa alikuwa ni Mkirstu wala Muislamu ila aliabudu kwa kusujudu iweje wewe ujiaminishe kuwa Ibrahim anakuhusu wewe na wala siyo WAISLAM?.
WAISLAM wanahaki kama walivyo na haki Wakirstu na Wayahudi kwa kuwa Ibrahim ndiye aliyebeba Imani za hawa watu wote.
Kwa habari ya Hekaru soma vizuri post utaelewa mwandishi kasemaje na pia waarabu wanalitambua vipi na ndiyo maana huwezi kuona waislamu wanafanya dhihaka na maeneo hayo matakatifu Hekaru ni Nyumba takatifu kwa Imani zote ila siyo Kanisa.
Usipende kupayuka payuka tu mkuu.
Wakirstu wanahaki ya kuwa pale kama walivyo na haki waislam yakuwa pale.
Ismail baada ya kuzaliwa aliambiwa asepe pamoja na mama yake kwani alikuwa mtoto haramu
 
Hivi mfano kule Iraq, Syria, na Libya ni nani mwanzilishi wa vurugu na vita, siyo nyinyi hujifanya mnaenda kuwafundisha watu eti namna ya kuishi mnavyotaka ninyi walikataa mnawapiga au mnapandikiza vibaraka wenu ili mlete vita MUNGU ANAWAONA.
mnaenda kwenye nchi inautalatibu na sheria zake eti mnawalazimisha waruhusu wa KUOANA JINSIA MOJA mnaakiri MUNGU ANAWAONA.
Ushoga wa mombasa na zenji mliletewa kwa nguvu?
 
Honestly I don't care much who is god to who. That is their business. Ninachokisema ni kwamba nifahamishwe uhusiano wa waislam na Jerusalem!
Hebu soma maelezo ya historia hiyo tena BBC wameweka kwa lugha nyepesi ili mimi na wewe tuelewe.
 
Hiyo kibra ya mwanzo ilijengwa na nani huko Jerusalem, ilikuwa mwaka gani, na huyo mjenzi kwa nini alikwenda kuijenga kule? Kama kibra ilihamishiwa mecca, nini kilisalia Jerusalem ambacho hakiwezi kuhamishwa?
Hutaki kujua lakini unafatilia....

Dini hizi jamaniii, kwanini msiwe tu marasta fariis,

Peace and Love every corner.
 
nakuelewa ndugu sana sana na vizuri umenijulisha kuwa hao mitume ni wayahudi ndiyo maana nikasema hivyo ila lazima tujue mji sio dini ila dini ipo katika mji kabla ya ibrahim baba wa mababa wa dini zote uyahudi,uislam na ukristo palikuwa na watu hapo sasa tukitetea amani kwa kidini atuwezi kuipata coz imani ni roho huwezi tenga mwili na roho,hivyo udini ukishika kasi hapo tusitegemee amani ikapatikana pia kumbuka na myahudi atakwambia sulemani ni myahudi na daudi baba yake ndiyo aliwajengea huo mji na mkristo atakwmbia daudi baba yake sulemani ndiyo chanzo cha Yesu ndiyo maana anaitwa mwana wa daudi na jeruselem ndiyo mji wake unafikiri amani itapatikana hapo,nafikiri sisi tuliodandia wakristo na waislamu tukubali tu wayahudi ndiyo wenye haki asilimia mia.kwani dini zingine zimekuja na kuwakuta wayahudi.
Umeongea vema sanaaa.
Big up.
 
Hivi Suleman alijenga huo msikiti?

Maana tunajua alijenga hekalu

Huo msikiti umejengwa karne za juzi tu

Why waislamu mnalazimisha yerusalemu uwe mji wenu?

Neno israeli lina maana yake kibiblia , ,nyie kwenye koran hamjui hata maana ya Israeli

Mnadanganya watu eti ibrahimu alikuwa muslim

Wakat uislamu umekuja juzi juzi na muhamad ,before hakuna hata chembe ya history kuwa kuliwahi kuwepo na kitu kinaitwa islamu ,
Uislamu umekuja juzi hahahaa wakati kwenye biblia kuanzia mwanzo mpka ufunuo hakuna hata chembe ya sentensi inayosema ukiristo ni dini.....wapagani wa ansokya ndo waliowapa dini nyinyi
 
Nadhani ili kumaliza mzozo, mji huu uchukuliwe na dunia. Usikaliwe na Wayaudi wala Waparestina. UN itoe watu wa kuhudumia mji huu.
Huo mji ungebaki kama ulivyo ukawa tu "Mji wa Amani" dini zote zikafanya yao bila kuingiliana kiroho safi tu.

Tukianza kumtafuta mmiliki halali mwishoee Mungu akasirikie autie gharika kwisha habari.
 
Hivi na wakristo wakiamua kumuunga mkono trumph na Israel katika hii issue mambo yatakuaje..mi nadhani busara zaidi ingetumika kuliko matumizi ya nguvu kama ilivyo ssa
Wamuunge mkono mara ngapi wakati nyinyi mpo kinyume na kila ambacho kinamuhusu muislamu
 
Back
Top Bottom