Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,427
- 10,749
Sijui ni-side wapi. Binafsi nilishangaa kukuta Israel kuna few christian na jamaa hawana time saana na ukristo. Nilisali kanisa moja la kikristo, we were just about 40-50 people. Cha ajabu tunawahusudu sana!
Muslims wa Parestina nao huwa wananichanganya.
Historically, waisrael wamesurvive veeery hard times na they know how to defend themselves no matter how few they are!
Huu mzozo utagharimu maisha ya wengi kwa kipindi kirefu! Ukiwaangalia wapinzani wao wanaimarika daily, Hamas wapo well trained na ni jeshi makini sana, but too inferior ukiwalinganisha na waisrael.
The best solution ni kuchukuliana! Waisrael au wapalestina wakipewa whole city still permanent peace haitatokea!!!
Muslims wa Parestina nao huwa wananichanganya.
Historically, waisrael wamesurvive veeery hard times na they know how to defend themselves no matter how few they are!
Huu mzozo utagharimu maisha ya wengi kwa kipindi kirefu! Ukiwaangalia wapinzani wao wanaimarika daily, Hamas wapo well trained na ni jeshi makini sana, but too inferior ukiwalinganisha na waisrael.
The best solution ni kuchukuliana! Waisrael au wapalestina wakipewa whole city still permanent peace haitatokea!!!
