Kauli yako inaonesha jinsi gani itakuwa unaukaribu na huyo mtu mwambie watu wanalalamika akumbuke ahadi zake .Wanaompigania Jerry wala hawapo huku Jf wala kule twita..... wapo mtaani na wana imani kubwa kwake
Wajumbe wanaelewa😆😆😃
Kauli yako inaonesha jinsi gani itakuwa unaukaribu na huyo mtu mwambie watu wanalalamika akumbuke ahadi zake .
Wanaompigania Jerry wala hawapo huku Jf wala kule twita..... wapo mtaani na wana imani kubwa kwake
Wajumbe wanaelewa😆😆😃
Waitara na Jery hawana tofauti ndio maana mimi sikuwahi kuwapigia kuraHata huyu wa sasa siyo mbunge? Je Waitara?
😂😂😂😂Ukisia pili pili ya shamba ndio hivi. Kitu Kiki Buza shambani, watu wapo Masaki inawatoa machozi.
🤔🤔🤔😰😰😰Mwisho kumbuka Kura za wanaukonga ulizopewa kuwa na utu na ukumbuke ulipotoka
Ndio nilimpa Kura yangu.🤔🤔🤔😰😰😰
Ulimpa kura yako‼️⁉️‼️⁉️