Jerry Silaa usijisahau Kuna maisha baada ya 2025

Wanaompigania Jerry wala hawapo huku Jf wala kule twita..... wapo mtaani na wana imani kubwa kwake
Wajumbe wanaelewa😆😆😃
Kauli yako inaonesha jinsi gani itakuwa unaukaribu na huyo mtu mwambie watu wanalalamika akumbuke ahadi zake .
 
Wanaompigania Jerry wala hawapo huku Jf wala kule twita..... wapo mtaani na wana imani kubwa kwake
Wajumbe wanaelewa😆😆😃

Ukisia pili pili ya shamba ndio hivi. Kitu Kiki Buza shambani, watu wapo Masaki inawatoa machozi.
 
Ili Mradi amepitishwa na CCM, umpende usimpende, umpigie kura usimpigie kura, achangie hoja Bungeni asichangie, haisadii na wala haijalishi, chama chake cha CCM kikiamua kumpitisha ndio imetoka hiyo, hakuna wa kumzuia na ataendelea kuwa Mbunge. Kama umegundua miaka ya Hivi karibuni, wabunge wengi wameonesha waziwazi kutojali na kutowajibika kwa wananchi wa majimbo yao kwa dhana iliyo wazi kwamba SIO WAO waliowaweka hapo bali ni CCM, hivyo wengi wamekuwa si watiifu kwa wananchi bali kwa chama chao au kiongozi wa chama chao. Ni ukweli mchungu kuumeza
 
Back
Top Bottom