Jerry Silaa: CHADEMA walinipa ushindi

Jerry Silaa: CHADEMA walinipa ushindi

Akiongea kwa kujiamini na kwa bashasha kubwa,Mjumbe mpya wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Silaa amesema kuchaguliwa kwake CC kumechangiwa na kiasi kikubwa na CHADEMA. 'Ndugu wajumbe,siasa za ndani ya chama chetu zimebadilika. Hivi sasa ukitaka kushinda lazima upambane na CHADEMA na uonekane.Mimi nilifanya hivyo. Niliisambaratisha CHADEMA kihoja na hata kikejeli' alisema huku akishangiliwa.

'Nanyinyi igeni mfano wangu;pambaneni nao ili muaminiwe na chama. Ikibidi hata kuwatukana viongozi wao wakuu,fanyeni hivyo.Chama kitawatunuku' alimaliza bila ya kubainisha ni wapi na lini aliwadhibiti CHADEMA kama alivyodai.

Chanzo: Kikao cha kumpongeza kilichoandaliwa na Makada wa Ilala na kufanyika jana Ofisi Ndogo za chama Lumumba.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam
Ndiyo maana jana Ritz na wenzake walikuwa adimu sana hapa JF kumbe kulikuwa na ubwabwa Lumumba...
 
Last edited by a moderator:
Life is based on perception,perception is based on opinion.Opinion is based on thought.Thought comes from the mind.Change your mind,change your life.


"Those who can not change their mind can not change anything"

TAFAKARI UKIAMUA UNAWEZA KUCHUKUA HATUA


be blessed
Ni sawa kabisa siku zote mvivu wa kifikiri huwa anatafuta sehemu ya kurukia au kudandia ili aonekana matokeo yake ndio hayo atukane mtu kwa ajili ya CHEO hapo ndipo tulipo. Kama si upumbavu ni nini sasa.
 
Ccm kimegeuka na kuwa shamba darasa la matus halafu ndio chama tawala na kikongwe niaibu sana kwa chama tawala kweli nimeamini kuwa na umri mkubwa sio chanzo cha hekima.
 
Akiongea kwa kujiamini na kwa bashasha kubwa,Mjumbe mpya wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Silaa amesema kuchaguliwa kwake CC kumechangiwa na kiasi kikubwa na CHADEMA. 'Ndugu wajumbe,siasa za ndani ya chama chetu zimebadilika. Hivi sasa ukitaka kushinda lazima upambane na CHADEMA na uonekane.Mimi nilifanya hivyo. Niliisambaratisha CHADEMA kihoja na hata kikejeli' alisema huku akishangiliwa.

'Nanyinyi igeni mfano wangu;pambaneni nao ili muaminiwe na chama. Ikibidi hata kuwatukana viongozi wao wakuu,fanyeni hivyo.Chama kitawatunuku' alimaliza bila ya kubainisha ni wapi na lini aliwadhibiti CHADEMA kama alivyodai.

Chanzo: Kikao cha kumpongeza kilichoandaliwa na Makada wa Ilala na kufanyika jana Ofisi Ndogo za chama Lumumba.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam

That mother f%&*#r thinks he is genius!! Kweli ni GENIUS kwa SISIEMU maana kilichobaki kwa chama chao ni kutoa matusi tu bila suluhisho ili mradi chama kikutunuku (According to Jerry). Ingekuwa vyema angewatajia audience yake hoja ambazo alitumia kuisambaratisha CDM. Mtu anaongea tu kwa sababu hasipofungua mdomo, kinywa kitanuka.
 
Back
Top Bottom