Jerry Silaa: CHADEMA walinipa ushindi

Jerry Silaa: CHADEMA walinipa ushindi

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Akiongea kwa kujiamini na kwa bashasha kubwa,Mjumbe mpya wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Silaa amesema kuchaguliwa kwake CC kumechangiwa na kiasi kikubwa na CHADEMA. 'Ndugu wajumbe,siasa za ndani ya chama chetu zimebadilika. Hivi sasa ukitaka kushinda lazima upambane na CHADEMA na uonekane.Mimi nilifanya hivyo. Niliisambaratisha CHADEMA kihoja na hata kikejeli' alisema huku akishangiliwa.

'Nanyinyi igeni mfano wangu;pambaneni nao ili muaminiwe na chama. Ikibidi hata kuwatukana viongozi wao wakuu,fanyeni hivyo.Chama kitawatunuku' alimaliza bila ya kubainisha ni wapi na lini aliwadhibiti CHADEMA kama alivyodai.

Chanzo: Kikao cha kumpongeza kilichoandaliwa na Makada wa Ilala na kufanyika jana Ofisi Ndogo za chama Lumumba.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam
 
Last edited by a moderator:
Akiongea kwa kujiamini na kwa bashasha kubwa,Mjumbe mpya wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Silaa amesema kuchaguliwa kwake CC kumechangiwa na kiasi kikubwa na CHADEMA. 'Ndugu wajumbe,siasa za ndani ya chama chetu zimebadilika. Hivi sasa ukitaka kushinda lazima upambane na CHADEMA na uonekane.Mimi nilifanya hivyo. Niliisambaratisha CHADEMA kihoja na hata kikejeli' alisema huku akishangiliwa.

'Nanyinyi igeni mfano wangu;pambaneni nao ili muaminiwe na chama. Ikibidi hata kuwatukana viongozi wao wakuu,fanyeni hivyo.Chama kitawatunuku' alimaliza bila ya kubainisha ni wapi na lini aliwadhibiti CHADEMA kama alivyodai.

Chanzo: Kikao cha kumpongeza kilichoandaliwa na Makada wa Ilala na kufanyika jana Ofisi Ndogo za chama Lumumba.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam

sasa hapo hashushi hadhi ya chama chake kweli! yaani anayepambana na cdm kwa matusi na hoja zisizo na mashiko anapewa cheo, kweli ccm iko hoi. kwa hiyo hao wazee wote na vijana, umri na elimu wanayodai wanayo wameishiwa mbinu za kukiinua tena chama? iliyobaki ni kupambana na cdm kitoto namna hiyo? kwa mara ya kwanza naamini kuwa kweli ccm imekufa, nilikuwa siaminiamini vile.
 
Wanachama na viongozi wa CHADEMA wanaowatukana viongozi wa CCM wanapata nini in return?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Sera ya CCM imebaki kutukana chadema, hawajali kuhusu Elimu, Afya, Maji na huduma nyingine za jamii. Hawa jamaa kama mazombi, hivi kiongozi unasimama jukwaani kujisifia kutukana watu badala ya kujisifu kupeleka maji kwa wananchi.

Kweli naamini wanasiasa wengi ni wale waliopata zero na division four (Nape Nnauye) na wakafurukuta wanavyojua wao wakawa wanasiasa. Wanaoyaongea yanatokana na uwezo wao wa kufikiri. Aibu yao wenyewe.
 
Akiongea kwa kujiamini na kwa bashasha kubwa,Mjumbe mpya wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Silaa amesema kuchaguliwa kwake CC kumechangiwa na kiasi kikubwa na CHADEMA. 'Ndugu wajumbe,siasa za ndani ya chama chetu zimebadilika. Hivi sasa ukitaka kushinda lazima upambane na CHADEMA na uonekane.Mimi nilifanya hivyo. Niliisambaratisha CHADEMA kihoja na hata kikejeli' alisema huku akishangiliwa.

'Nanyinyi igeni mfano wangu;pambaneni nao ili muaminiwe na chama. Ikibidi hata kuwatukana viongozi wao wakuu,fanyeni hivyo.Chama kitawatunuku' alimaliza bila ya kubainisha ni wapi na lini aliwadhibiti CHADEMA kama alivyodai.

Chanzo: Kikao cha kumpongeza kilichoandaliwa na Makada wa Ilala na kufanyika jana Ofisi Ndogo za chama Lumumba.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam
Mkuu VUTA-NKUVUTE sina uhakika sana na taarifa zako unazotoa kwa jinsi vile unavyozitoa.Kwanza wewe kipindi fulani ulituambia wewe na wenzako mnaelekea uswiss kuchungunza watanzania walioficha hela huko, tukakuambia utupe feed back lakini hukuripoti tena kitu.mara kadhaa umekuwa ukileta taarifa na ukidai kwamba wewe mwenyewe ulikuwa kwenye vikao husika ila nikijaribu kupima huwa ninakuwa sipati picha halisi .Sasa pengine inawezekana wewe ni mtu wa usalama lakini pia mtu wa usalama anayeripoti kila taarifa moja kwa moja kwenye media za wazi tena wakati mwengine anaenda kwenye operesheni;lakini anaripoti kabla ya kwenda! mimi naona kama ni mwanausalama mwenye uwezo wa chini kabisa na kwangu mimi si rahisi kumuamini.
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo hoja zinazompitisha wasira kila siku!

Akiongea kwa kujiamini na kwa bashasha kubwa,Mjumbe mpya wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Silaa amesema kuchaguliwa kwake CC kumechangiwa na kiasi kikubwa na CHADEMA. 'Ndugu wajumbe,siasa za ndani ya chama chetu zimebadilika. Hivi sasa ukitaka kushinda lazima upambane na CHADEMA na uonekane.Mimi nilifanya hivyo. Niliisambaratisha CHADEMA kihoja na hata kikejeli' alisema huku akishangiliwa.

'Nanyinyi igeni mfano wangu;pambaneni nao ili muaminiwe na chama. Ikibidi hata kuwatukana viongozi wao wakuu,fanyeni hivyo.Chama kitawatunuku' alimaliza bila ya kubainisha ni wapi na lini aliwadhibiti CHADEMA kama alivyodai.

Chanzo: Kikao cha kumpongeza kilichoandaliwa na Makada wa Ilala na kufanyika jana Ofisi Ndogo za chama Lumumba.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam
 
Wanachama na viongozi wa CHADEMA wanaowatukana viongozi wa CCM wanapata nini in return?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kama kiongozi gani wa chadema alitukana wa CCM, tumeona Nape akiwaambia watu kule mwanza atawashikisha ukuta, sijui na wewe sumu alikushikisha. Akina Lusinde, Mchemba, matusi yao hayaandikiki hapa, acha yule mzee wa gombe.
 
meya huyo hajui asemalo. ni heri mtu awe kibaraka wa wananchi maana ataweza kuleta maendeleo kwa jamii, kuliko kuwa kibaraka kwa viongoz \ chama chake kwa kujisifia yupo juu ktk malumbano ya hoja za jukwaani yaliyo jaa matusi na kejeri. . . sisiem oyeee!!!
 
"Niliisambaratisha CHADEMA kihoja na hata kikejeli' alisema huku akishangiliwa"

Nasema hivi hako kajamaa ni kamburura, angekuwa ana uwezo wa kuisambaratisha CHADEMA kihoja na kikejeli asingekuwa na wazo la kutumia mpaka kituo cha polisi cha () kujizuia maovu yake.

"Nanyinyi igeni mfano wangu;pambaneni nao ili muaminiwe na chama. Ikibidi hata kuwatukana viongozi wao wakuu, fanyeni hivyo. Chama kitawatunuku"

Waelewa wote tunaelewa kwamba kajamaa kameingia CC kwa niaba ya kazi za mtu fulani tena mtoto wa (), usiwafanye wenzako waonekane mamburura kwa ujinga wako. Ila haaina shida vijana wa CCM fanyeni kama alivyo fanya mwenzenu mpate Ujumbe wa CC.

Lakini mujiulize kwamba ni kweli tunaweza kusimama na CHADEMA kwa hoja na kejeli na kama kweli inamaana hakuna wenye sifa za namna hiyo ambao wamemzidi hata hako kamburura? Tafakari Chukua hatua. Anguko la CCM liko mikononi mwao.
 
Akiongea kwa kujiamini na kwa bashasha kubwa,Mjumbe mpya wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Silaa amesema kuchaguliwa kwake CC kumechangiwa na kiasi kikubwa na CHADEMA. 'Ndugu wajumbe,siasa za ndani ya chama chetu zimebadilika. Hivi sasa ukitaka kushinda lazima upambane na CHADEMA na uonekane.Mimi nilifanya hivyo. Niliisambaratisha CHADEMA kihoja na hata kikejeli' alisema huku akishangiliwa.

'Nanyinyi igeni mfano wangu;pambaneni nao ili muaminiwe na chama. Ikibidi hata kuwatukana viongozi wao wakuu,fanyeni hivyo.Chama kitawatunuku' alimaliza bila ya kubainisha ni wapi na lini aliwadhibiti CHADEMA kama alivyodai.

Chanzo: Kikao cha kumpongeza kilichoandaliwa na Makada wa Ilala na kufanyika jana Ofisi Ndogo za chama Lumumba.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam
Aisee!
Kumbe ukitaka cheo ndani ya ccm inabidi uwaporomoshee matusi viongozi wa chadema!!!!

Kwa mtindo huu Julie na Matela watapanda vyeo siku si nyingi.
 
Akiongea kwa kujiamini na kwa bashasha kubwa,Mjumbe mpya wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Silaa amesema kuchaguliwa kwake CC kumechangiwa na kiasi kikubwa na CHADEMA. 'Ndugu wajumbe,siasa za ndani ya chama chetu zimebadilika. Hivi sasa ukitaka kushinda lazima upambane na CHADEMA na uonekane.Mimi nilifanya hivyo. Niliisambaratisha CHADEMA kihoja na hata kikejeli' alisema huku akishangiliwa.

'Nanyinyi igeni mfano wangu;pambaneni nao ili muaminiwe na chama. Ikibidi hata kuwatukana viongozi wao wakuu,fanyeni hivyo.Chama kitawatunuku' alimaliza bila ya kubainisha ni wapi na lini aliwadhibiti CHADEMA kama alivyodai.

Chanzo: Kikao cha kumpongeza kilichoandaliwa na Makada wa Ilala na kufanyika jana Ofisi Ndogo za chama Lumumba.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam
Mkuu VUTA-NKUVUTE afadhali umerudi utupe wanayo fanya wakina chama na Ritz
 
Last edited by a moderator:
Mkuu VUTA-NKUVUTE sina uhakika sana na taarifa zako unazotoa kwa jinsi vile unavyozitoa.Kwanza wewe kipindi fulani ulituambia wewe na wenzako mnaelekea uswiss kuchungunza watanzania walioficha hela huko, tukakuambia utupe feed back lakini hukuripoti tena kitu.mara kadhaa umekuwa ukileta taarifa na ukidai kwamba wewe mwenyewe ulikuwa kwenye vikao husika ila nikijaribu kupima huwa ninakuwa sipati picha halisi .Sasa pengine inawezekana wewe ni mtu wa usalama lakini pia mtu wa usalama anayeripoti kila taarifa moja kwa moja kwenye media za wazi tena wakati mwengine anaenda kwenye operesheni;lakini anaripoti kabla ya kwenda! mimi naona kama ni mwanausalama mwenye uwezo wa chini kabisa na kwangu mimi si rahisi kumuamini.
Mkuu betlehem,yawezekana ulipitwa na mreshesho wa VUTA-NKUVUTE. Aliporudi tu toka Uswisi aliweka mabandiko tena akiwataja waficha hela na kudai kuwa Daudi Balali yu hai. Hukusoma? VUTA-NKUVUTE ni kati ya waaminiwa sana hapa JF...anajitahidi sana kwa kuripoti ukweli
 
Last edited by a moderator:
Life is based on perception,perception is based on opinion.Opinion is based on thought.Thought comes from the mind.Change your mind,change your life.


"Those who can not change their mind can not change anything"

TAFAKARI UKIAMUA UNAWEZA KUCHUKUA HATUA


be blessed
 
Back
Top Bottom