Jerry Silaa: CHADEMA walinipa ushindi

Jerry Silaa: CHADEMA walinipa ushindi

"Nanyinyi igeni mfano wangu;pambaneni nao ili muaminiwe na chama. Ikibidi hata kuwatukana viongozi wao wakuu,fanyeni hivyo.Chama kitawatunuku"


That speaks volumes of what CDM has become in this country; Homa ya jiji.

Kumbe ukitaka ulaji ndani ya CCM lazima kujipirikicha like a dog on heat! na maigizo kwamba unapambana na CDM; Kumbe Jerry Slaa is another conjurer; sanaa za jukwaani.

CCM sasa ni wazi lazima ife tu kama KANU, UPC, MPC na UNIP! kama hata vijana wake kizazi kipya kama Jerry Slaa ni wachumia tumbo!! CCM bye bye.
 
Akiongea kwa kujiamini na kwa bashasha kubwa,Mjumbe mpya wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Silaa amesema kuchaguliwa kwake CC kumechangiwa na kiasi kikubwa na CHADEMA. 'Ndugu wajumbe,siasa za ndani ya chama chetu zimebadilika. Hivi sasa ukitaka kushinda lazima upambane na CHADEMA na uonekane.Mimi nilifanya hivyo. Niliisambaratisha CHADEMA kihoja na hata kikejeli' alisema huku akishangiliwa.

'Nanyinyi igeni mfano wangu;pambaneni nao ili muaminiwe na chama. Ikibidi hata kuwatukana viongozi wao wakuu,fanyeni hivyo.Chama kitawatunuku' alimaliza bila ya kubainisha ni wapi na lini aliwadhibiti CHADEMA kama alivyodai.

Chanzo: Kikao cha kumpongeza kilichoandaliwa na Makada wa Ilala na kufanyika jana Ofisi Ndogo za chama Lumumba.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam

Watu wafupi kuwa na "akili", mara chache sana!
 
Maskini ccm watu wake wanajitahidi kukimaliza kwa bidii kweli!!! hivi kweli nyakati hizi kuna mtanzania
utampata kwa kuitukana CHADEMA?

Kweli Mungu akitaka kukamilisha mpango wake ana njia nyingi, Mungu amewapiga upofu maccm kiasi kwamba ufahamu wao umepigwa giza hawaelewi hata wanayosema wala kutenda"Asante Mungu kwa kurahisisha ukombozi wetu watanzania"
 
Ndo maana fomu foo wamefauli
Viongozi wamewekeza kwenye kutukana CDM? Afu wanajisifu hadharani?
 
Laana i juu yao wanamagamba. Hivi matusi yataondoka matatizo yanayoikabili nchi hii?
 
mmmh sera na matatizo ya wananchi hayaangaliwi tena, kinachoangaliwa hapa chadema wamefanya nn tuwadhibiti vipi,,,kweli naamini upinzan uko juu,, na chama tawala wanavizia kama wapinzani na wanasahau hata kutimiza sera zao
 
Akiongea kwa kujiamini na kwa bashasha kubwa,Mjumbe mpya wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Silaa amesema kuchaguliwa kwake CC kumechangiwa na kiasi kikubwa na CHADEMA. 'Ndugu wajumbe,siasa za ndani ya chama chetu zimebadilika. Hivi sasa ukitaka kushinda lazima upambane na CHADEMA na uonekane.Mimi nilifanya hivyo. Niliisambaratisha CHADEMA kihoja na hata kikejeli' alisema huku akishangiliwa.

'Nanyinyi igeni mfano wangu;pambaneni nao ili muaminiwe na chama. Ikibidi hata kuwatukana viongozi wao wakuu,fanyeni hivyo.Chama kitawatunuku' alimaliza bila ya kubainisha ni wapi na lini aliwadhibiti CHADEMA kama alivyodai.

Chanzo: Kikao cha kumpongeza kilichoandaliwa na Makada wa Ilala na kufanyika jana Ofisi Ndogo za chama Lumumba.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam

Shame on you Jerry.
 
Hata J. Shonza na Mtela M. nao wanajua siri hiyo ndo maana wameanza. mwisho wa siku yatawashinda na wananchi tuliowengi tumekwisha fahamu upuuzi huu.
 
dah!! sikutarajia kama haka kajamaa na kenyewe ni kabovu namna hii. kumbe ccm wanaruhusu kutukana ilimradi tu unashambulia CDM? ndo maana ule mtambo wa matusi, livingstone lusinde unaabudiwa sana ccm, kumbe mtaji ni uwezo wa kutukana. dah! ningekuwa sijazaliwa na aibu ya kutukana kumbe ningejiunga ccm tuu, unamwaga matusi hadharani, halafu unapandishwa cheo. hakyanani hili genge la ccm halina tena sifa ya kuongoza nchi. hivi kweli katika dunia iliyostaarabika mtu unajivunia uhodari wa kutukana!!!!???? Tanzania kazi tunayo.
 
Akiongea kwa kujiamini na kwa bashasha kubwa,Mjumbe mpya wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Silaa amesema kuchaguliwa kwake CC kumechangiwa na kiasi kikubwa na CHADEMA. 'Ndugu wajumbe,siasa za ndani ya chama chetu zimebadilika. Hivi sasa ukitaka kushinda lazima upambane na CHADEMA na uonekane.Mimi nilifanya hivyo. Niliisambaratisha CHADEMA kihoja na hata kikejeli' alisema huku akishangiliwa.

'Nanyinyi igeni mfano wangu;pambaneni nao ili muaminiwe na chama. Ikibidi hata kuwatukana viongozi wao wakuu,fanyeni hivyo.Chama kitawatunuku' alimaliza bila ya kubainisha ni wapi na lini aliwadhibiti CHADEMA kama alivyodai.

Chanzo: Kikao cha kumpongeza kilichoandaliwa na Makada wa Ilala na kufanyika jana Ofisi Ndogo za chama Lumumba.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam

Na anasema kweli! Tanzania watu wanachaguliwa/kuteuliwa kwa sababu ya uwezo wa kuhujumu, uwezo wa kubisha, uwezo wa kudanganya nk. Uwezo wa uongozi sio sifa tena. Lakini alivyo na akili ndogo yeye anafikiri ameongea la maana. Haoni utendaji kama ndio sifa inayofaa kuonewa fahari. Aombe Mungu ''anaongoza'' watanzania ... watu wasiohoji na kujiuliza!
 
CCM kweli wametukanishwa na mjumbe wao wenyewe. Yaani kweli amediriki kusema matusi na hoja kwa CDM ndo vilivyomsaidia kuingia CC? Na hakuna hata kamati ya maadili ndani ya CCM kumuonya kisa CDM wamewazidi kwa hiyo Liwalo na Liwe?
Mbona CCM wamekosa hekima hivi? Kweli wanadhani wanaweza kushindana na Peoples Power?
Laiti wangejua style ya CDM sasa hivi imebadilika sana na hawatumii nguvu yao wenyewe ispokua ile ya Umma wangejaribu na wao kuwekeza nguvu zao kwa Umma kwa style ya tofauti.
Nachelea kutabiri kuwa mda si mda jamaa watapigwa chali.
Na tuendelee kuwekeza kwenye mda tuone
 
bora kakili siasa za ccm zimebadirika bila kutaja cdm hupewi cheo, kweli cdm ipo juu inawapa watu vyeo.
 
Vipi hajazungumzia mchango wa yale mambango yaliyokuwa yanamsifu mwenyekiti wake kuwa nayo yemechangia?
 
CCM kweli wametukanishwa na mjumbe wao wenyewe. Yaani kweli amediriki kusema matusi na hoja kwa CDM ndo vilivyomsaidia kuingia CC? Na hakuna hata kamati ya maadili ndani ya CCM kumuonya kisa CDM wamewazidi kwa hiyo Liwalo na Liwe?
Mbona CCM wamekosa hekima hivi? Kweli wanadhani wanaweza kushindana na Peoples Power?
Laiti wangejua style ya CDM sasa hivi imebadilika sana na hawatumii nguvu yao wenyewe ispokua ile ya Umma wangejaribu na wao kuwekeza nguvu zao kwa Umma kwa style ya tofauti.
Nachelea kutabiri kuwa mda si mda jamaa watapigwa chali.
Na tuendelee kuwekeza kwenye mda tuone
 
Back
Top Bottom