Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,469
- 14,771
Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa akizungumza na Clouds FM amesema
"Ukisikiliza ile ripoti ya CAG utaona Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Serikali amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza ile Ibara ya 143, Ibara ndogo ya 4 ya Katiba ya kupokea taarifa na kufikisha bungeni. Ni suala la katiba. Ambalo pengine Serikali ingeona kuna tatizo kubwa ingetafuta njia yoyote ya kuweza kuitafutia sababu... Lakini Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akifanya hivyo kwa miaka yote Minne akiwa kwenye uongozi wake"
Hakika hili ni tatizo kubwaUnapokuwa na watawala wapumbavu kama hawa maendeleo ni ndoto, huyu naye tunategemea atashauri kitu cha maana
Hivi ni kwanini mnamfanya huyu mama kama mtoto mdogo asiyekuwa na fikra?Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa akizungumza na Clouds FM amesema
"Ukisikiliza ile ripoti ya CAG utaona Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Serikali amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza ile Ibara ya 143, Ibara ndogo ya 4 ya Katiba ya kupokea taarifa na kufikisha bungeni. Ni suala la katiba. Ambalo pengine Serikali ingeona kuna tatizo kubwa ingetafuta njia yoyote ya kuweza kuitafutia sababu... Lakini Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akifanya hivyo kwa miaka yote Minne akiwa kwenye uongozi wake"
We usingekuwa pumbavu zaidi usingekuwa km ulivyo. We nyumbu utakufa ukiwa unalialia huna faida wala kumbukumbu ktk nchi hiiUnapokuwa na watawala wapumbavu kama hawa maendeleo ni ndoto, huyu naye tunategemea atashauri kitu cha maana
Mambo aliyoongea huyu ndugu wa tom yanatia kinyaa...Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa akizungumza na Clouds FM amesema
"Ukisikiliza ile ripoti ya CAG utaona Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Serikali amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza ile Ibara ya 143, Ibara ndogo ya 4 ya Katiba ya kupokea taarifa na kufikisha bungeni. Ni suala la katiba. Ambalo pengine Serikali ingeona kuna tatizo kubwa ingetafuta njia yoyote ya kuweza kuitafutia sababu... Lakini Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akifanya hivyo kwa miaka yote Minne akiwa kwenye uongozi wake"
Chawa pro max aliyevimbiwa kodi za wananchi ili aendelee kupewa nafasi ya kutafuna tena na tenaWaziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa akizungumza na Clouds FM amesema
"Ukisikiliza ile ripoti ya CAG utaona Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Serikali amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza ile Ibara ya 143, Ibara ndogo ya 4 ya Katiba ya kupokea taarifa na kufikisha bungeni. Ni suala la katiba. Ambalo pengine Serikali ingeona kuna tatizo kubwa ingetafuta njia yoyote ya kuweza kuitafutia sababu... Lakini Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akifanya hivyo kwa miaka yote Minne akiwa kwenye uongozi wake"
Hayapo ajili ya wananchi yapo kuiba na kutajirikaHakika hili ni tatizo kubwa
Dada angu punguza hasira, tunatetea maslahi ya mtoto wako pamoja na ya mumeo.We usingekuwa pumbavu zaidi usingekuwa km ulivyo. We nyumbu utakufa ukiwa unalialia huna faida wala kumbukumbu ktk nchi hii
Wanatetea tu ugali waoHayapo ajili ya wananchi yapo kuiba na kutajirika
Hopeless kabisaWanatetea tu ugali wao
Kumbe hii ndiyo ID yako 😁😁We usingekuwa pumbavu zaidi usingekuwa km ulivyo. We nyumbu utakufa ukiwa unalialia huna faida wala kumbukumbu ktk nchi hii
Nchi inaelekea kutumbukia shimoniHopeless kabisa
Huyu ni mpumbavu sana!Unapokuwa na watawala wapumbavu kama hawa maendeleo ni ndoto, huyu naye tunategemea atashauri kitu cha maana
Ni tapeli haswaHuyu ni mpumbavu sana!
Inaelekea au tayari ipo shimoni, mradi gani sahivi unaendelea wa maana zaidi ya mradi wa chawa?Nchi inaelekea kutumbukia shimoni
Mfereji ulikuwa haujaelekezwa kwakeDuh kweli kulamba asali kubaya
Huyu ndiye alikuwa mkosoaji kweli bungeni