MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
Cc: lizaboniMimi nashauri wampe Libazoni mana kazi anayoifanya kutetea kijani si mchezo. Kajitoa ufahamu kabisa
Cc: lizaboni
Cc: lizaboniMimi nashauri wampe Libazoni mana kazi anayoifanya kutetea kijani si mchezo. Kajitoa ufahamu kabisa
Sio kulialia taja jina ashughulikiweMmoja wa wauza ngada na masalia ya lowassa na mbaya zaid anawatumia vijana wa marehem masaburi kule chanika kupakia mizigo yao ya unga.... Hafai kabsa yule..
Makonda ametosha na atatosha miaka buku
Fafanua vizuri hapo mwishoni kama hutajaliUVCCM huwa wanamwita masalia ya Lowassa..
Nafikiri ukaribu wake na EL toka akiwa PM na baada ya ndio unaomfanya aonekane hafai.
Lakini kiuongozi anaonekana kuwa na hekima na busara kuliko Mwizi wa Vyeti.
Huyo labda apewe kuongoza nyumba kumiMimi nashauri wampe Libazoni mana kazi anayoifanya kutetea kijani si mchezo. Kajitoa ufahamu kabisa
hiyu apotee. baada ya kupatapata visenti kwenye uongozi alionesha kudharau hadharani fikra za mwalimu nyerere. binafsi niliona bila shaka anafaidika na ufisadi uliyokua umetawala kipindi hicho cha jk.Huyu kijana alikuwa mahili kuiongoza manispaa ya Ilala kwa nafasi ya meya 2010-2015.
Amekuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama cha mapinduzi kwa muda sasa. Ni wakati sasa mkulu amkumbuke ampe nafasi hii aweze kuwatumikia wanadalisalama.
Mpya kwani wa zamani kaenda wapiKwa jinsi kijana Jeri Slaa alivyo smart na ukizingatia Mkulu ni muumini wa vijana kuna kila dalili aweza kuteuliwa kuchukua nafasi ya Makonda kwa sasa.
Nini maoni yako?
hadi siku akubakeMakonda hang'oki ng'oooo!