Jerry Muro na Zitto Kabwe, Something familiar

Jerry Muro na Zitto Kabwe, Something familiar

Jerry amesema anataka ubunge na alikuwa anasema sifa zake ambazo
hakuna anaeweza kuzi verify
mfano ni lini alitangazwa kuwa ni 'mwanahabari wa mfano'?
alitangazwa na nani?

ni kweli ni mwanahabari mchapakazi ..lakini titles na masifa angeacha wengine waseme

na wala hizo title na masifa hazim halalishi kuwa mbunge

Zitto the same..ni kweli alisababisha baraza la mawaziri livunjwe but hakusaidiwa?
hizo sign 70 zote hazina maana kwake?
angepungua nini kama angesema 'tulisababisha baraza la mawaziri kuvunjwa'?

Malkia Elizabeth anaposema 'we' unafikiri kuna malkia wangapi UK?
lugha ya uongozi ni sisi na we

Ngoja tu nikuache maana
 
Mpaka useme Mimi lazima umefanya kitu.mfano Mimi nilikuwa mwizi wa magari nikapata ubunge.mlitaka niseme tulikuwa waizi wa magari tukaukwaa ubunge
 
Jerry amesema anataka ubunge na alikuwa anasema sifa zake ambazo
hakuna anaeweza kuzi verify
mfano ni lini alitangazwa kuwa ni 'mwanahabari wa mfano'?
alitangazwa na nani?

ni kweli ni mwanahabari mchapakazi ..lakini titles na masifa angeacha wengine waseme

na wala hizo title na masifa hazim halalishi kuwa mbunge

Zitto the same..ni kweli alisababisha baraza la mawaziri livunjwe but hakusaidiwa?
hizo sign 70 zote hazina maana kwake?
angepungua nini kama angesema 'tulisababisha baraza la mawaziri kuvunjwa'?

Malkia Elizabeth anaposema 'we' unafikiri kuna malkia wangapi UK?
lugha ya uongozi ni sisi na we
Mkuu nina wasi wasi kama watu wanakuelewa. Ahsante kuwakumbusha

Lugha ya mimi ina ubinafsi (narcissism) na ubabe (arrogance). Lugha ya stara ni ''sisi au tume'' ikimaanisha hata kama unatenda, basi unatenda kwasababu ima una hadhira au unaungwa mkono.
 
MSALITI yeyote ni majigambo mtindo mmoja bila mimi wasinge fanya hili na lile,bila mimi.....
 
Ni kwa ajili ya ubinafsi, ndio maana yuko tayari kuunza nchi yeye afaidike
 
Ni lugha tu ya mama inamsumbua, Waha wengi hawajui kutumia sisi wanajua mimi so msameheni tu
 
Kama alifanya yeye kweli ulitaka aseme alifanya na nani? Acha wivu husio na mashiko. Hoja yako ingekuwa na mshiko kama ungeonesha wapi alisema nilifanya wakati walifanya wengi, otherwise ni majungu na siasa za maji taka!
 
Mtu mwenye hulka ya ubinafsi hawezi kuongea kwa niaba ya kundi isipokuwa kwa niaba yake tu. He simply cannot, because others count to him only when he can use them for his ends.

A Y A T O L L A H Zitto ndio hulka yake alipokuwa CHADEMA, na ndio hulka yake hata sasa huko ACT!

ACT ni yeye na yeye ni ACT, na bahati nzuri wafuasi wake misukule wanampigia makofi na kumwabudu kwa kila anachofanya.
 
Siku akiiba yeye na akisema sisi tuliiba utakubali??????? kama amefanya yeye ni haki yake kusema mimi. Hawezi kusema sisi wakati ni yeye kwakuwa hata siku atakapoiba atakuwa ni mimi na sio sisi.
 
Hiyo si weakness tu ya kawaida. Hiyo tabia ni kati ya vitu (vichache au vingi?) which tells a lot abt him...

Niliwahi kumuuliza au kumwambia Kitila Mkumbo (kabla usaliti wake haujabainika) juu ya tabia hii which shows a high level of arrogance and selfishness. Rafikiye alikubali. Naona ameshindwa kumsaidia.

Time will tell...
 
Ni mbinafsi na ana umimi hata umfanye vipi habadiliki na akijitahidi kubadilika ataishia kuwa mnafiki.
 
mkuu hauoni aibu??

bila slaa na mbowe hauna maisha wewe
Frankly speaking that is a great weakness of A Y A T O L L A H Zitto!

That simply fits the definition of an EGOIST!

If you are close to A Y A T O L L A H Zitto and can advise him, please tell him to try to change, although I think it is in his DNA.
 
Ubinafsi ukizidi lazima huwe mshirikina.

swissme
 
Jana nilikuwa mahali kwenye kijiwe kukawa na ubishani mkubwa sana
"Hoja ya escrow ilikuwa ya zzk au ya tumbili "
Aisee ilikuwa mtete kweli
 
Huyo hana tofauti na Mrema, Augustine Lyatonga. Ndio zilikuwa zake hizo. Watu wa aina hiyo huwa mwisho wao unakuwa uko karibu sana na daima mwisho wa usiku umagamba wao wala haujifichi.
 
Back
Top Bottom