Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
Jerry amesema anataka ubunge na alikuwa anasema sifa zake ambazo
hakuna anaeweza kuzi verify
mfano ni lini alitangazwa kuwa ni 'mwanahabari wa mfano'?
alitangazwa na nani?
ni kweli ni mwanahabari mchapakazi ..lakini titles na masifa angeacha wengine waseme
na wala hizo title na masifa hazim halalishi kuwa mbunge
Zitto the same..ni kweli alisababisha baraza la mawaziri livunjwe but hakusaidiwa?
hizo sign 70 zote hazina maana kwake?
angepungua nini kama angesema 'tulisababisha baraza la mawaziri kuvunjwa'?
Malkia Elizabeth anaposema 'we' unafikiri kuna malkia wangapi UK?
lugha ya uongozi ni sisi na we
Ngoja tu nikuache maana