TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,297
- 28,006
Yule Jerry Muro(ambaye anasemekana ni msemaji wa Klabu ya Yanga ya Dar es salaam), busara zake zinapimika. Nilizipima siku moja wakati kiongozi wa Simba alivyoingia kwenye Jengo la Yanga kuonana na waandishi wa Habari waliokuwa wamehudhuria kikao pale. Nilikuta busara zake ni ratili mbili tu hasa namna alivyo'msaidia' kiongozi huyo wa Simba.