daud magigo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 979
- 423
Ongea baba wewe hata watu wasiojulikana leo watakuwa wamelala mtoto wa nyumbani anaongea.Huna haja ya kibali cha polisi.Nafasi zipo nyingi wakurungezi watano tumeambiwa ni walevi,mawaziri wanne viti vyao viko wazi.Qngea ongea kichaa kapata rungu.