SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
DC Mstaafu kapigwa ganzi kelele anapigia KAWE Fomu anachukulia Hai Maombi ya Jasusi Mkuu wa KAWE hayatamuacha salama
No huyu kijana yuko vizuri, he is damm good! Kiukweli kabisa, DC Jerry Murro, yuko vizuri!, ni visionary leader mwenye vision, mission, uwezo na kipaji. Anastahili kuwa RC, atakuwa kama Mtaka!.Kachukua kama ushahidi
Na pingu amwachie nani ?.No huyu kijana yuko vizuri, he is damm good! Kiukweli kabisa, DC Jerry Murro, yuko vizuri!, ni visionary leader mwenye vision, mission, uwezo na kipaji. Anastahili kuwa RC, atakuwa kama Mtaka!.
P
Uzuri wa kuongea?No huyu kijana yuko vizuri, he is damm good! Kiukweli kabisa, DC Jerry Murro, yuko vizuri!, ni visionary leader mwenye vision, mission, uwezo na kipaji. Anastahili kuwa RC, atakuwa kama Mtaka!.
P
Yuko vizuri Murro ni vile hatuna viongozi bora ndio maana umemuona nae anafaa hakuna mtu hapo hata umpake mafuta vip Mayalla.No huyu kijana yuko vizuri, he is damm good! Kiukweli kabisa, DC Jerry Murro, yuko vizuri!, ni visionary leader mwenye vision, mission, uwezo na kipaji. Anastahili kuwa RC, atakuwa kama Mtaka!.
P
Mwaka huu chukua tena fomu kaka,.No huyu kijana yuko vizuri, he is damm good! Kiukweli kabisa, DC Jerry Murro, yuko vizuri!, ni visionary leader mwenye vision, mission, uwezo na kipaji. Anastahili kuwa RC, atakuwa kama Mtaka!.
P
Hajui kuongea mpaka leo, unasemaje hata Rais akiwa mjinga tumuheshimuNo huyu kijana yuko vizuri, he is damm good! Kiukweli kabisa, DC Jerry Murro, yuko vizuri!, ni visionary leader mwenye vision, mission, uwezo na kipaji. Anastahili kuwa RC, atakuwa kama Mtaka!.
P
Kwani rais ni malaika?, kwani rais hawezi kuwa mjinga?, kwani mtu kuwa mjinga ni kosa?, mjinga ni asiyejua, usidhani rais kwa vile ni rais basi anajua kila kitu!.Hajui kuongea mpaka leo, unasemaje hata Rais akiwa mjinga tumuheshimu
Yaaani alikosa namna ya kuongea ambayo haileti utatata
Bado najishauriMwaka huu chukua tena fomu kaka,.
Kumbe hunaga akili pamoja na utu uzima wako, yaani Rais mwenye watu wa kumpa taarifa zote awe mjinga, Jemedari wetu nembo inayoishi ya uhuru na umeoja wetu?Kwani rais ni malaika?, kwani rais hawezi kuwa mjinga?, kwani mtu kuwa mjinga ni kosa?, mjinga ni asiyejua, usidhani rais kwa vile ni rais basi anajua kila kitu!.
Tuache kurembaremba maneno, marais wajinga tuu humu duniani wamejaa kibao!.
P
Kaka P tunakuheshimu sana,kitendo cha kumfananisha Mtaka mtu wa maana kiasi hicho na Jery ambaye ni chawa aliyekatwa mishipa ya aibu unatukosea sana.Mtaka ni kiongozi,mlezi na baba.No huyu kijana yuko vizuri, he is damm good! Kiukweli kabisa, DC Jerry Murro, yuko vizuri!, ni visionary leader mwenye vision, mission, uwezo na kipaji. Anastahili kuwa RC, atakuwa kama Mtaka!.
P
Kupiga siasa ni kupiga domo, mtu mzuri wa kupiga domo ni mwanasiasa mzuri!.Uzuri wa kuongea?
Hata wewe ni mjinga mmoja tuu, mjinga sio tusi!, hebu tuache ujinga!Kumbe hunaga akili pamoja na utu uzima wako, yaani Rais mwenye watu wa kumpa taarifa zote awe mjinga, Jemedari wetu nembo inayoishi ya uhuru na umeoja wetu?
Halafu nani amesema mjinga ni mtu asiyejua tu? Mjinga ni mtu asiye na capacity ni tusi kubwa