Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,182
- 42,001
Ni vyema ukawa unachunguza kwa makini unacho kiandika kabla ya kupost.
Wewe mwenyewe umesema uoni vijana bali unaona wazee, hapo hapo unatuuliza sisi umri wa vijana kwa mujibu wakatiba.
Sasa kama hujui umri wa vijana umejuaje hao ni wazee?
Asubuhi njema mkuuu
Wewe mwenyewe umesema uoni vijana bali unaona wazee, hapo hapo unatuuliza sisi umri wa vijana kwa mujibu wakatiba.
Sasa kama hujui umri wa vijana umejuaje hao ni wazee?
Asubuhi njema mkuuu
Hapa mi sioni vijana naona wazee wanajadili mambo ya vijana,kwani umri wa vijana kwa mujibu wa katiba ya CDM ni miaka mingapi?