OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
BAADA ya kupigwa chini/ kutoswa na mkuu wa wilaya na kunyanganywa gari aina ya harrie aliloohogwa naona kahamia chadema duu kweli maisha magumu atatapatapa mpaka ashike hadabu anajifanya kuingilia maisha ya prince,kwa sasa ana maisha magumu kichizi huyo mkuu wa wilaya ndio alikuwa mfadhili wake na ndio alikuwa anatoa ela za kulisha familia yake.....karibu m4c...