Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,810
- 623
Hawa magamba Mungu awalaani na huu utawala wao wa kifisadi.
<br /><font color="#000080"><font size="4"><b>I FEEL SORRY FOR MURRO..HE IS GOOD BOY AND SMART..BUT SOMETIMES TO WIN SOMETHING YOU MUST JUMP SHARP BRIDGE WITH A LOT OF THORNS WHERE YOU MAY SOMETIMES FALL AND KILL YOURSELF///////God is great to u</b></font></font>
Eddie, Manyir na Alaffat; Mnamjua Stan Katabaro? yuko wapi sasa hivi??Sema wewe kiazi, nikisema mimi mhogo wauchungu.............
<br />Sema wewe kiazi, nikisema mimi mhogo wauchungu.............
<br />Bwana Jerry hapa umecheza mkuu nimeupenda utetezi wako umeenda shule! Kwa kawaida kesi ni kujua namna ya kuishawishi mahakama ndio maana hata Nguza na wanae walifungwa kwa kukosa uwezo wa kuishawishi mahakama pale walipoogopa kutaja chanzo cha mgogoro wa kesi kuwa ni ngono za mkubwa!<br />
<br />
Hapa bwana wagalagaze hao polisi walioshindwa kumtia hatiani Zombe wao kwa kupeleka hati hafifu za mashitaka ili wamchomoe wakati ni kweli aliuwa!<br />
Tuko pamoja mpaka mafisadi wote wa nchi hii watokomee.