Jerry Muro ni Mhariri wa habari na kama sikosei ni mwenyekiti wa jukwaa la Wahariri.... So usitegemee kumkuta sana kwenye interactive Journalism. Pili kuna habari ziliwahi kuletwa hapa kwamba amepata kazi CNN. Ila sijui ziliishia wapi.....!View attachment 217668
Sent from my iPhone using JamiiForums app
"WITO WA KUJIHATARISHA KWA MASLAHI YA UMMA WA WATANZANIA"
Labda uwe mgeni na huo umma wa watanzania, maana hauna ushirikiano bla bla nyingi vitendo sifuri. Mwisho ws siku ni wewe na familia yako ndo mtahangaika likitokea tatizo.
ulitaka ang'olewe kucha bila ganzi?Jamaa siku hizi ni Msemaji wa klabu ya Yanga hana hamu kabisa na hizo habari zenu za Sisa
Umma wenye uzoefu wa kujificha uvunguni.
Hebu Tuache Dharau Kwani Alichokupa Wewe Yeye Kamnyima Na Kuna Tunu Pengine Muro Anayo Na Wewe Pamoja Na Utajiri Wako Huo Wa Vipesa Vya Ngama Huna! ktk Maisha Yangu HUWA NACHUKIA MNO na SANA WATU WENYE DHARAU KAMA Wewe. Na Si Ajabu Ukawa Huna CHOCHOTE Kuanzia Akili Na Mali. Nimechukizwa Na Sentensi Yako Kuwa Nimemkuta Na Ki Korona Chake..........Umeniboa Na Umenikera Mkuu Na Hongera Zako Wewe Uliyebarikiwa Kuwa Na Magari Makuu Kuu.
jerry muro alikata tamaa mapema mno. Wakristu husema "majaribu ndo mtaji wa imani".
Majaribu ya jerry ndo ulikuwa mtaji wake wa kusonga mbele na kuwa na jina kubwa katika nchi na nje ya nchi. Lakini yeye kaamua kupokea mtaji na kuutia kwenye kibuyu mvunguni.
Hebu aone kazi nzuri za investigative journalist mohammed ali wa ntv ya kenya. ( jicho pevu: Makri ya injili: http://youtu.be/msi5uhldoca) .
We need him to get inspired and kick off again. Aache uoga.
Jerry Muro ni Mhariri wa habari na kama sikosei ni mwenyekiti wa jukwaa la Wahariri.... So usitegemee kumkuta sana kwenye interactive Journalism. Pili kuna habari ziliwahi kuletwa hapa kwamba amepata kazi CNN. Ila sijui ziliishia wapi.....!View attachment 217668
Sent from my iPhone using JamiiForums app