Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
Huyo ni kama mama yako uwe na heshima!! Lazima tuheshimu viongozi wa serikali.
Usijali Highlander, kama sikosei huyu mama ni mjane. Nakumbuka alimpoteza mwenzie some years ago. Sina hakika kama kuna aliyekuwahi. Waweza kujaribu bahati naona unayo.
huyu mama ni mjane, mumewe halisi tulishamzikaga miaka mingi sasa . ila kama una ubavu wa kushindana na mgombea mmoja wa upresident jaribu bahati yako. hofu yangu anaweza kuhamishia nguvu kwako baadala ya uraisi .
Poa moyo kijana, huyo mama ni mjane, mme wake mr. Mhagama (Eng.) alifariki kitambo. Kama unahusudu wajane jitose tu jamaa yangu.[/QUO
mkulu ni sheida,sijui asha hit button ngapi,toka afkishe 18 yo 60+
huyu mama ni mjane, mumewe halisi tulishamzikaga miaka mingi sasa . ila kama una ubavu wa kushindana na mgombea mmoja wa upresident jaribu bahati yako. hofu yangu anaweza kuhamishia nguvu kwako baadala ya uraisi .
kuwUsijali Highlander, kama sikosei huyu mama ni mjane. Nakumbuka alimpoteza mwenzie some years ago. Sina hakika kama kuna aliyekuwahi. Waweza kujaribu bahati naona unayo.
Hujamaliza, sema pia kilichomuua ili Highlander afanye maamuzi sahihi
Poa moyo kijana, huyo mama ni mjane, mme wake mr. Mhagama (Eng.) alifariki kitambo. Kama unahusudu wajane jitose tu jamaa yangu.
kula vyako. Rais mtarajiwa ni Prof. Tibaijuka sio nywele nyeupe, slaa, mbowe wala nn. 2015 tunaitaji rais msomi zaid km professor wa uchumiJamani ee, kuna mwanasaikolojia hapa anisaidie kujielewa? mwenzenu nimepata kijitatizo kidooogo. Hii picha hapa chini nimeikuta mahali nikaipenda ghafla.... alaf hata sababu siijui. Jenister Mhagama lazima atakuwa mke wa mtu tu,na kama wote tunavojua mke wa mtu ni su? sumu.... kwa hiyo yeye so sababu ya mimi kuipenda hii picha. Yupo na rais na raia kadhaa hapa. Rais mwenyewe nampenda kidogo sana, ingawa simchukii. Sasa inakuwaje? Mbona hii picha nimeipenda?
:spider:😛eace::spider:Any ideas?...
View attachment 173122
Simple and mediocre mind discusses people..!!!....
Dogo! hebu rudia post yako ya mwanzo;siyo huko nilikokuwa naenda jamaa, eee!
Jamani ee, kuna mwanasaikolojia hapa anisaidie kujielewa? mwenzenu nimepata kijitatizo kidooogo. Hii picha hapa chini nimeikuta mahali nikaipenda ghafla.... alaf hata sababu siijui. Jenister Mhagama lazima atakuwa mke wa mtu tu,na kama wote tunavojua mke wa mtu ni su? sumu.... kwa hiyo yeye so sababu ya mimi kuipenda hii picha. Yupo na rais na raia kadhaa hapa. Rais mwenyewe nampenda kidogo sana, ingawa simchukii. Sasa inakuwaje? Mbona hii picha nimeipenda?
:spider:😛eace::spider:Any ideas?...