Jenister Mhagama

Jenister Mhagama

Status
Not open for further replies.

Highlander

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
3,093
Reaction score
1,077
Jamani ee, kuna mwanasaikolojia hapa anisaidie kujielewa? mwenzenu nimepata kijitatizo kidooogo. Hii picha hapa chini nimeikuta mahali nikaipenda ghafla.... alaf hata sababu siijui. Jenister Mhagama lazima atakuwa mke wa mtu tu,na kama wote tunavojua mke wa mtu ni su? sumu.... kwa hiyo yeye so sababu ya mimi kuipenda hii picha. Yupo na rais na raia kadhaa hapa. Rais mwenyewe nampenda kidogo sana, ingawa simchukii. Sasa inakuwaje? Mbona hii picha nimeipenda?

:spider:😛eace::spider:Any ideas?...

Jenister Mhagama.jpg
 
Jamani ee, kuna mwanasaikolojia hapa anisaidie kujielewa? mwenzenu nimepata kijitatizo kidooogo. Hii picha hapa chini nimeikuta mahali nikaipenda ghafla.... alaf hata sababu siijui. Jenister Mhagama lazima atakuwa mke wa mtu tu,na kama wote tunavojua mke wa mtu ni su? sumu.... kwa hiyo yeye so sababu ya mimi kuipenda hii picha. Yupo na rais na raia kadhaa hapa. Rais mwenyewe nampenda kidogo sana, ingawa simchukii. Sasa inakuwaje? Mbona hii picha nimeipenda?



:spider:😛eace::spider:Any ideas?...

View attachment 173122

Usijali Highlander, kama sikosei huyu mama ni mjane. Nakumbuka alimpoteza mwenzie some years ago. Sina hakika kama kuna aliyekuwahi. Waweza kujaribu bahati naona unayo.
 
huyu mama ni mjane, mumewe halisi tulishamzikaga miaka mingi sasa . ila kama una ubavu wa kushindana na mgombea mmoja wa upresident jaribu bahati yako. hofu yangu anaweza kuhamishia nguvu kwako baadala ya uraisi .
 
huyu mama ni mjane, mumewe halisi tulishamzikaga miaka mingi sasa . ila kama una ubavu wa kushindana na mgombea mmoja wa upresident jaribu bahati yako. hofu yangu anaweza kuhamishia nguvu kwako baadala ya uraisi .

mgombea mwenyewe anatoka kanda ya kaskazini
 
Jamani ee, kuna mwanasaikolojia hapa anisaidie kujielewa? mwenzenu nimepata kijitatizo kidooogo. Hii picha hapa chini nimeikuta mahali nikaipenda ghafla.... alaf hata sababu siijui. Jenister Mhagama lazima atakuwa mke wa mtu tu,na kama wote tunavojua mke wa mtu ni su? sumu.... kwa hiyo yeye so sababu ya mimi kuipenda hii picha. Yupo na rais na raia kadhaa hapa. Rais mwenyewe nampenda kidogo sana, ingawa simchukii. Sasa inakuwaje? Mbona hii picha nimeipenda?

:spider:😛eace::spider:Any ideas?...

View attachment 173122
Poa moyo kijana, huyo mama ni mjane, mme wake mr. Mhagama (Eng.) alifariki kitambo. Kama unahusudu wajane jitose tu jamaa yangu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom