...Niliwahi kusikia story wakati fulani kuwa hata huko zanzibar kuna eneo nyumba ya kawaida tu ya kuishi watu ilizama ardhini na kupotea kabisa hadi hii leo pale mahali hata wenyeji wanapaogopa kukaribia. Sasa cjui ni kitu gani may be wataalamu wa miamba watuelimishe. Ila hii ya Guatemala ni kiboko!!
kwa hiyo waliozama wameingia kuzimu na miili yao?
very sad.
ninyi mnaojenga darisalama ambapo mnajua mji wote una bahari chini mjifunze hapo
...Niliwahi kusikia story wakati fulani kuwa hata huko zanzibar kuna eneo nyumba ya kawaida tu ya kuishi watu ilizama ardhini na kupotea kabisa hadi hii leo pale mahali hata wenyeji wanapaogopa kukaribia. Sasa cjui ni kitu gani may be wataalamu wa miamba watuelimishe. Ila hii ya Guatemala ni kiboko!!
2012 hiyo dalili zake...