Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Hatimae lile jengo lililokuwa linatia aibu katikati ya mji yaani jengo la KILABU cha simba limerudishiwa umeme baada ya kusota gizani zaidi ya miaka 15.
Jengo hilo linalosifika kwa uchafu hapa Dar limerudishiwa umeme mapema leo na kumeonekana na shamrashamra za watu wa eneo hilo.
kurudishwa umeme kwa jengo hilo kunatokana na kelele zilizopigwa na wanachama wanaopenda maendeleo wa CLUB ya Yanga waliokuwa wanawashinikiza kila kukicha viongozi na wapenzi wa KILABU cha Simba.
Zoezi linalofuata sasa ni kushinikiza uongozi na washabiki wa Simba waweze kupaka rangi jengo lao, kuzibua vyoo, kurudisha maji na marekebisho mengine.
Jengo hilo linalosifika kwa uchafu hapa Dar limerudishiwa umeme mapema leo na kumeonekana na shamrashamra za watu wa eneo hilo.
kurudishwa umeme kwa jengo hilo kunatokana na kelele zilizopigwa na wanachama wanaopenda maendeleo wa CLUB ya Yanga waliokuwa wanawashinikiza kila kukicha viongozi na wapenzi wa KILABU cha Simba.
Zoezi linalofuata sasa ni kushinikiza uongozi na washabiki wa Simba waweze kupaka rangi jengo lao, kuzibua vyoo, kurudisha maji na marekebisho mengine.