safari ni safari
raha tower na sophia house ni jengo hilo hilo
safari ni safari
juu ya jengo hili wameliandika raha tower ni seva ya internet wakati katikati ya jengo limeandikwa sophia house, umenipata mjumbe
Wejemeni, Jengo ni la Raha Towers, Sofia House ni mpangaji tuu, hivyo haiwezekani likaitwa jengo la Sophia House, japo nakubali, hutokea mazingira yakalibadili jina la jengo kutokana na umaarufu wa mpangaji, kama Steers au Shoprite etc.
ukifuatilia lazima palianza kufuka moshi kwenye moja ya ofisi hizo ndo maana leo moto umewaka....upo hapo
...Ili moto uunguze vizuri, watu wa zimamoto lazima watachelewa kufika maana foleni ndio muda wake huo...So hata uwezekano wa kuuzima moto wote huwa mdogo...sijui hawa waliowahi hapa Raha tower walikwenda kwa helikopta au walipitia wapi?Mioto yote maofisini hutukea asubuhi asubuhi...kwa nini?
...Ili moto uunguze vizuri, watu wa zimamoto lazima watachelewa kufika maana foleni ndio muda wake huo...So hata uwezekano wa kuuzima moto wote huwa mdogo...sijui hawa waliowahi hapa Raha tower walikwenda kwa helikopta au walipitia wapi?