Hassan Mtengo
New Member
- Aug 10, 2011
- 2
- 0
jamani tusaidieni ipo siku tutafunikwa,
hili jengo la habour view tower nina wasiwasi na viwango vyake.
upande wa ofisi yetu kulikuwa ni 'parking' hawa wenye jengo wakafanya
marekebisho sasa ni ofisi. tena ni ofisi kubwa tu ya shipping inayopokea
wateja wengi kwa siku. kinachotupa wasi wasi ni mtikisiko usioisha kana
kwamba kuna tetemeko la ardhi. chonde chonde wadau tusaidieni tukiwa hai
msingoje tufunikwe halafu mje kufukua vifusi
hili jengo la habour view tower nina wasiwasi na viwango vyake.
upande wa ofisi yetu kulikuwa ni 'parking' hawa wenye jengo wakafanya
marekebisho sasa ni ofisi. tena ni ofisi kubwa tu ya shipping inayopokea
wateja wengi kwa siku. kinachotupa wasi wasi ni mtikisiko usioisha kana
kwamba kuna tetemeko la ardhi. chonde chonde wadau tusaidieni tukiwa hai
msingoje tufunikwe halafu mje kufukua vifusi