mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Habari kutoka tandahimba zinasema kuwa watu wenye hasira wamevamia na kukichoma moto kituo cha polisi katika eneo hilo.
Source: Tbc1
Source: Tbc1
source TBC wenye info zaida watujuze
Bora angeungua tu na huyo OCD kwani amekuwa kikwazo kikubwa kwa wananchi pindi wanapodai haki zao.
Yaani OCD kusaidia ufunguaji wa canteen za vinywaji vikali na baridi ndio mnamwona mwema!!!???Kwa wananchi wanaomjua vizuri OCD,wanamuongelea vema,wala si mtu mbaya..
Kwa juhudi zake amewezesha ukaribu wa askari na raia kwa kufungua canteen ya vinywaji vikali na baridi..
Na ni mtu mwema tu kwa kweli.. Ila watu hawaipendi kazi yake,na askari wake.. Na mikong'oto mara nyingi inatoka kwa askari wa wilaya jirani,kama Newala na Mtwara..
Ila wiki iliyopita palikuwa fujo za raia dhidi ya askari na baadhi ya watumishi wa serikali.. Kwa kuibiwa,kuchomewa nyumba moto,kuzuia magari barabarani kwa magogo,n.k.
Shine tazama tu utaona thread yangu.. Tangu jana usiku nilipost..
hii style ya mabomu naona imeshamiri bongo now kitu kidogo mabomu naona yako mengi sn so wanataka yaishe haraka waagize mengine,mwisho yatazoeleka na watu watatafuta jinsi ya kujikinga nayo,anyway poleni huko kwa moto mtulie ili uchunguzi ufanyike. bila kukosea itaundwa tume!
Yaani OCD kusaidia ufunguaji wa canteen za vinywaji vikali na baridi ndio mnamwona mwema!!!???
Hivi yule aliyekuwa mgombea wa CUF Ahmed Katani yuko wapi siku hizi maana nasikia jamaa alichakachuliwa na magamba. Je hakufungua kesi ya kupinga ushindi "fake" wa mgombea wa CCM?Ni mstaarabu sana,hata katika maisha ya kawaida.. Ila watu wa huku ukitaka kukorofishana nao,uwasumbue katika 'madini' yao wanayoyategemea...KOROSHO! Hapo watageuka wanyama kabisa!
ths is very bad. polen sana ndugu zetu wz tandahimba. but kwa wale wenye ndugu mikoa jirani ni bora kwenda hadi hali ya huko iwe shwari. na wanawake na watoto ni bora wakajiondoa maema. lakin mm najiuliza hivi rais kama alipopata taarifa za kifa kesho yake alikwenda kwanini na huko ambako amani inatoweka asiende kuongea nao?????au mimi nimewaza tofauti jamani? nafikiri mtu wa kuwasaidia ni rais mwenyewe au atoe tamko jamani. sasa tunakuwa kisiwa cha fujo badala ya amani
Shine tazama tu utaona thread yangu.. Tangu jana usiku nilipost..
Haonekani!! Kama vp tujuze kilichotokea na kinachoendelea!!
Binafsi nimewachoka hawa Policcm, acha wananchi wachukue uamzi sitahiki!!
Ni kweli, mimi pia nakumbuka thread yako ya jana. But ulisema jengo la mkuu wa polisi kwa hiyo mimi sikuelewa. Lakini kama ni kituo cha polisi ni vema tukajua usalama wa mahabusu. Maana vituo vya polisi huwa vina mahabusu wanaolala mle. Je waliokolewa au imekuwaje?Shine tazama tu utaona thread yangu.. Tangu jana usiku nilipost..
Hivi yule aliyekuwa mgombea wa CUF Ahmed Katani yuko wapi siku hizi maana nasikia jamaa alichakachuliwa na magamba. Je hakufungua kesi ya kupinga ushindi "fake" wa mgombea wa CCM?