Jengo hili ambalo miaka ya 80/90 ndio lilikuwa refu kuliko yote Dar es salaam lilijengwa miaka ya 60 na Dr krizant mzindakaya ndio aliesimamia ujenzi wake kwà gharama ya 40000/=tsh ndio elfu arobaini tu.
Amepunguza sifuri kadhaa kama sio tatu sijuiKila siku nawambia pesa ina badilika na ardhi inabadilika. sinza miaka 80 mzee alikataa kununua nyumba kwa laki tisa.
kimara ilikuwa pori ni kama unajipimia kwa laki
ila kwa pesa hiyo uliyosema hapana
Jengo hili
Unabisha nini!?..gari miaka ya 70 buku Tano hamnahamna 10,Sasa elfu 40 miaka ya 60 unafikiri ndogo!?Na
kimara ilikuwa pori ni kama unajipimia kwa laki
ila kwa pesa hiyo uliyosema hapana
bora tu hakununua. Mngekuja kudhulumiwa ama kuwauzia kina ritz kwa million 1 miaka ya 90Miaka ya 70 babu yangu alikataa shamba la heka 3 kwa shilingi 100 Mikocheni.
Eneo lilikuwa jirani kabisa na TPDC mbele nyumq ya Rose Garden
kama bado yupo nenda kamkaange makofi ila na wewe usiache kununua kununua ardhi vikindu miaka 40 ijayo utakuja kukaangwa makofi na wajukuu zakoMiaka ya 70 babu yangu alikataa shamba la heka 3 kwa shilingi 100 Mikocheni.
Eneo lilikuwa jirani kabisa na TPDC mbele nyumq ya Rose Garden