kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,392
Asante mkuu kama nakuona kwenye kichwa changuJamaa kama vile anajiandaa kutawala Tz mpaka kufa. For his security, Yani hapa atakuwa na vyumba kama 50. Rais atalala chumba chochote kati ya ivyo 50 kutokana na atakavyotaka. Leo chumba no 1 kesho no 50 keshokutwa no 30.